GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Niliwaonya mapema tu TFF na Benchi la Ufundi kuwa wapange kama nilivyokipanga ila kwa 'Upuuzi' wao wakamuweka 'Nuksi' Himid Mao Mkami badala ya Feisal Salum ambaye hata kabla ya Mchezo ule katika 'Uzi' wangu ndiyo atakayeamua Mechi kwakuwa Kinyota (Kindumba) Jana ilikuwa inambeba Yeye na nikasema hata 'Hirizi' abebeshwe Yeye.Mkuu vipi kuhusu kile kikosi chako ulichoambiwa na mganga wako wa Pemba ?
Naona 'unawashwawashwa' na Mimi Mkuu endelea tu!Hivi huyo Bocco asibgekuwepo Feisal hiyo pasi angempa nani?
Ukujibu hili swali basi hajuna haja ya mii mada kuendelea
Umeanza lini kuwa 'Mental' hivi Mkuu?Mkuu ile ni pass au mpira ulimgonga baada ya kushindwa kuupokea mpira.(Ball control)
Umeanza lini kuwa 'Mental' hivi Mkuu?
Nikukune?Naona 'unawashwawashwa' na Mimi Mkuu endelea tu!
Bocco ameshachuja sijui kwanini bado wanamtumia national team.Tazama vyema kwa mchezaji yeyote bora si U17 or U20 kama anaweza kupokea mpira ovyo vile.
Na yule ndio tunasema natural striker na upokeaji mpira ndio vile mkuu.
Pia ndio tunategemea mashindano ya klabu bingwa kwa upokeaji mpira huo basi mtani tutaona mengi.
Hivi huyo (huyu) Faisal Salum wenu bila 'Pasi' ya Kwanza iliyoanzia kwa Jonas Mkude na kumkuta John Boko na Kumpa Yeye 'pande' angefunga?
hahahahaaaaaaaaaaaa!!!hahahaaaaa!!! neeeyo bagosha!!!Naona 'unawashwawashwa' na Mimi Mkuu endelea tu!
Acha mawazo ya kipu-m-b-a-ffHivi Feisal asingekuwepo hiyo pasi Bocco angempa nani?
Ukujibu hili swali basi hajuna haja ya mii mada kuendelea