Mnapohangaika 'Kumsifia' Mchezaji wenu Faisal Salum kumbukeni pia bila 'pande' la John Boko leo 'mngenuna' tu

Mnapohangaika 'Kumsifia' Mchezaji wenu Faisal Salum kumbukeni pia bila 'pande' la John Boko leo 'mngenuna' tu

Tuliwaambia nyie simba jitahidini kuzuia tusifungwe, suala la kufunga mabao mtuachie Sisi Yanga.
Yanga tukatekeleza ahadi ila simba na Manula wao wakatuangusha
 
Hivi Feisal asingekuwepo hiyo pasi Bocco angempa nani?
Ukujibu hili swali basi hajuna haja ya mii mada kuendelea
Mkuu mimi ni shabiki Simba.

Namkubali sana FEI TOTO hasa kwa Maamuzi ya haraka na ushapu wake uwanjani.. Tena huyu wa sasa naona ameanza kukomaa kwenye timu ya TAIFA tofauti na yule aliyeenda AFCON.

Ila tusipende ushabiki wa kitoto kama wako huu (ni AIBU) Ukute age yako ni 25+ HALAFU unatoa pumba humu.

Wengine wanasema mpira ulimgonga BOCCO , mara alishindwa kukontrol sawa.. Je huo mpira ungepitiliza bila kuguswa? ungeenda nje ukarudi wenyewe?

Washabiki wa Tunisia punguzeni kuhamahama.
 
Na hapa ndipo Kipimo halisi cha aina ya Wanamichezo (hasa wapenda Soka) wa Tanzania walivyo ukichanganya na Waandishi wa Habari na Watangazaji wa 'hovyo hovyo' tulionao Tanzania kwa sasa. Yaani Timu yetu ya Taifa Stars jana 'imejitutumua' na kutoka Sare na Tunisia badala ya Kuwapongeza Wachezaji wote 'Mijitu' leo kutwa inamjadili tu Mchezaji wa Yanga SC Faisal Salum.

Hivi huyo (huyu) Faisal Salum wenu bila 'Pasi' ya Kwanza iliyoanzia kwa Jonas Mkude na kumkuta John Boko na Kumpa Yeye 'pande' angefunga?
Hii ni timu ya Taifa ,mambo ya simba na Yanga hakuna
 
Kuna mahali Kama Taifa tunakosea kwenye kuteua wachezaji wa Timu ya Taifa.

Kwa Sasa timu ya Taifa ni combination ya Simba na Yanga. Ndio maana haya yanatokea.
 
Watanzania ni utopolo an wanafanya kutenganisha mambo tusem sio watanzania n wa simba na yanga ndo waliungana hivyo wangekua wanacheza kwakunyimana pas tunge pata hiyo sale!?

Kikubwa waache ujinga n team moja wamefanya kwa uwezo wao ulipofikia hivy 2

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Huyu mleta mada ndiye mwanzilishi wa hayo anayokemea Leo. Yeye ndiye aliyeanza kusema bila wachezaji wa Simba Tunisia ingeifunga Tanzania zaidi ya goli 5, lakini kwa vile kulikuwa na Nungunungu, Kambale na Konokono wa Simba ndo maana ikafungwa goli moja huko Tunis.
Ukiunga mkono kitu kumbuka na chanzo.
 
Tazama vyema kwa mchezaji yeyote bora si U17 or U20 kama anaweza kupokea mpira ovyo vile.

Na yule ndio tunasema natural striker na upokeaji mpira ndio vile mkuu.

Pia ndio tunategemea mashindano ya klabu bingwa kwa upokeaji mpira huo basi mtani tutaona mengi.
Kumbuka ndo top striker mpaka sasa kwa TPL.
 
Back
Top Bottom