Mnapojadili kuwa Yanga kaonewa mjadili pia ubovu wa Yanga kwenye upigaji wa penati

Mnapojadili kuwa Yanga kaonewa mjadili pia ubovu wa Yanga kwenye upigaji wa penati

Kasiano Muyenzi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
13,858
Reaction score
22,729
Mnalaumu eti refa kakataa goli la Yanga, mnaongea kwa uchungu na jazba huku mkitokwa mate na kamasi.

Hamgusii chochote kuhusu kipindi cha penati. Katika kupigiana penati mlipata nafasi nzuri ya kumuumbua huyo aliyewanyima goli, lakini kwa sababu ya ubutu wa wapigaji hamkufanya lolote.

Huyo Aziz ki aliyefunga goli lililokataliwa ilikuwaje akashindwa kurudisha goli lake alilodhurumiwa pale alipoenda kupiga penati?

Ni kichaa tu anayeweza kusema kuwa 🐸🐸 wameonewa.

Tayari 🐸🐸 mmeshakuwa Mwakarobo jr kihalali kabisa, acheni kuwalaumu waamuzi.
 
Mnalaumu eti refa kakataa goli la Yanga, mnaongea kwa uchungu na jazba huku mkitokwa mate na kamasi.

Hamgusii chochote kuhusu kipindi cha penati. Katika kupigiana penati mlipata nafasi nzuri ya kumuumbua huyo aliyewanyima goli, lakini kwa sababu ya ubutu wa wapigaji hamkufanya lolote.

Huyo Aziz ki aliyefunga goli lililokataliwa ilikuwaje akashindwa kurudisha goli lake alilodhurumiwa pale alipoenda kupiga penati?

Ni kichaa tu anayeweza kusema kuwa 🐸🐸 wameonewa.

Tayari 🐸🐸 mmeshakuwa Mwakarobo jr kihalali kabisa, acheni kuwalaumu waamuzi.
We fala hao mbwa wako hawakutakiwa wafike hatua ya matuta
 
Mnalaumu eti refa kakataa goli la Yanga, mnaongea kwa uchungu na jazba huku mkitokwa mate na kamasi.

Hamgusii chochote kuhusu kipindi cha penati. Katika kupigiana penati mlipata nafasi nzuri ya kumuumbua huyo aliyewanyima goli, lakini kwa sababu ya ubutu wa wapigaji hamkufanya lolote.

Huyo Aziz ki aliyefunga goli lililokataliwa ilikuwaje akashindwa kurudisha goli lake alilodhurumiwa pale alipoenda kupiga penati?

Ni kichaa tu anayeweza kusema kuwa 🐸🐸 wameonewa.

Tayari 🐸🐸 mmeshakuwa Mwakarobo jr kihalali kabisa, acheni kuwalaumu waamuzi.
Mbumbumbu uko bus kufungua nyuzi...una furahi umepata mwenzio wa robo ? Kweli Rage hakukosea kuwaita Mbumbumbu...
 
Hata simba wenzako watakuona mpuuzi.
Mwakarobo Junior kajipangeni upya,mnataka mwende nusu Fainali kimazabe ,mpaka mmekuwa timu ya kwanza kuvunja rekodi ya CAF Kwa kuwa timu ya kwanza kushindwa kufikisha Accurate pass 100 katika mechi yoyote ya quarter Final,yaani Mechi ya Pretoria mmepiga Accurate passes 95 tu yaani Kwa dakika Moja Mwakarobo jr mligusa mpira mara Moja tu,pathetic
 
Mwakarobo Junior kajipangeni upya,mnataka mwende nusu Fainali kimazabe ,mpaka mmekuwa timu ya kwanza kuvunja rekodi ya CAF Kwa kuwa timu ya kwanza kushindwa kufikisha pass 100 katika mechi yoyote ya quarter Final,yaani Mechi ya Pretoria mmepigwa pass 95 yaani Kwa dakika Moja Mwakarobo jr mligusa mpira mara Moja tu,pathetic
Kweli umbumbumbu upo na mbumbumbu wapo...Kolo ndio timu pekee 'imegongwa nje ndani ' zingatia neno kugongwa ...
 
Mnalaumu eti refa kakataa goli la Yanga, mnaongea kwa uchungu na jazba huku mkitokwa mate na kamasi.

Hamgusii chochote kuhusu kipindi cha penati. Katika kupigiana penati mlipata nafasi nzuri ya kumuumbua huyo aliyewanyima goli, lakini kwa sababu ya ubutu wa wapigaji hamkufanya lolote.

Huyo Aziz ki aliyefunga goli lililokataliwa ilikuwaje akashindwa kurudisha goli lake alilodhurumiwa pale alipoenda kupiga penati?

Ni kichaa tu anayeweza kusema kuwa 🐸🐸 wameonewa.

Tayari 🐸🐸 mmeshakuwa Mwakarobo jr kihalali kabisa, acheni kuwalaumu waamuzi.
IMG-20240406-WA0018.jpg
IMG-20240406-WA0016.jpg
IMG-20240406-WA0021.jpg

IMG-20240406-WA0045.jpg
 
Mnalaumu eti refa kakataa goli la Yanga, mnaongea kwa uchungu na jazba huku mkitokwa mate na kamasi.

Hamgusii chochote kuhusu kipindi cha penati. Katika kupigiana penati mlipata nafasi nzuri ya kumuumbua huyo aliyewanyima goli, lakini kwa sababu ya ubutu wa wapigaji hamkufanya lolote.

Huyo Aziz ki aliyefunga goli lililokataliwa ilikuwaje akashindwa kurudisha goli lake alilodhurumiwa pale alipoenda kupiga penati?

Ni kichaa tu anayeweza kusema kuwa 🐸🐸 wameonewa.

Tayari 🐸🐸 mmeshakuwa Mwakarobo jr kihalali kabisa, acheni kuwalaumu waamuzi.
Ungeonekaba Una akili japo za kuvukia barabara kama utajikita kwenye timu yako, Jana Cairo nini kimetokea?
 
Mnalaumu eti refa kakataa goli la Yanga, mnaongea kwa uchungu na jazba huku mkitokwa mate na kamasi.

Hamgusii chochote kuhusu kipindi cha penati. Katika kupigiana penati mlipata nafasi
Na walipofika matuta walipaswa kuudhihirisha ulimwengu kuwa wao sio Mwakarobo jr
Mkuu unajidhalilisha!

Hata kama ni ushabiki!
 
Kweli umbumbumbu upo na mbumbumbu wapo...Kolo ndio timu pekee 'imegongwa nje ndani ' zingatia neno kugongwa ...
Hata Kufika matuta Mwakarobo Junior ni kudra ya Mungu tu kajipangeni ndio maana MANARA alisema Utopoloni wenye akili ni wawili tu.Umesahau siye mwaka Jana tulifika matuta na Bingwa mtetezi wakati huo Wydad tena Kwa kuupiga mwingi,siyo Utopolo a.k.a Mwakarobo Junior ambaye kashindwa kufikisha hata average ya ball possession ya 50% katika mechi mbili ya Pretoria na DSM.hata Mungu haoendi acha waliowekeza wasonge mbele siyo takataka hizi za utopolo
 
Back
Top Bottom