Mnapojadili kuwa Yanga kaonewa mjadili pia ubovu wa Yanga kwenye upigaji wa penati

Ni kweli wenye akili ni wawili....ila vipi huko mbumbumbu wote ..na unaandika umbumbumbu wako hapa...ficha huu ujinga..fichua hekima ....
 
ni kweli kabisa,japo tumeibiwa goli lakini upigaji wetu wa penati haukuwa makini,ni wazi wachezaji hawakuwa makini,ama hapakuwa na matayarisho ama wachezaji walikuwa,wametoka mchezoni
 
Hayo yote ni kwa sababu 🐸🐸 kawa Mwakarobo jr?

Sawa nipo na akili kisoda, Ila nakushauri tu ACHA UJINGA.
Ujue mtu mzima kuwa mbumbumbu haipendezi ...nami nakushauri acha umbumbumbu..umeandika umbumbumbu...najua wewe ni mbumbumbu sana tu ila punguza kuwa mbumbumbu
 
Ficha upumbavu.
Unadhani mamelody mchele mchele??
 
Mmeshhanza tabia zenu ugenini kulalamika bila sababu yasingi timu kama hz inafaa zibaki hukohuko uwanja wa fisi
 
Wana hasira hao, matusi utayaoga aisee.
Kule wamekutana na Arajiga wa Mamelod, Arajiga wao wamemfungia huku nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…