Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Basi ni Mheshimiwa Mungu
Ha ha ha kwani tulikubaliana ni nani?Baba wa Taifa gani tena jamanii..?
si tulikubaliana familia imara ina baba mmoja?Baba wa Taifa gani tena jamanii..?
Tulikubaliana yeye ni mpwa tuu jomonii...Ha ha ha kwani tulikubaliana ni nani?
John Magufuli sio baba wa TaifaNimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je Taifa Lina mababa wawili?
- Je Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
DuhBamdogo labda...
Eee,sasa huyu katokea wapi tenaa lakini?si tulikubaliana familia imara ina baba mmoja?
Wanataka kutuletea lijibaba la kambosi tulikubaliana familia imara ina baba mmoja?
Baada ya miezi 2 hakuna mtu atamtaja tena kwa mazuri, haya mazwazwa yanasifia tu muda huu.Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?