Mnapomuita Magufuli baba wa Taifa, mnakuwa mnamaanisha nini?

Mnapomuita Magufuli baba wa Taifa, mnakuwa mnamaanisha nini?

Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
  • Je, Taifa Lina mababa wawili?
  • Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
  • Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Naombeni tusaidiane majawabu
Mkuu ni Shujaa wa Afrika.
 
Mkapa je
Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
  • Je, Taifa Lina mababa wawili?
  • Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
  • Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Naombeni tusaidiane majawabu
 
nimeikuta pahala

NYERERE- baba wa taifa
MWINYI- baba wa ruksa
MKAPA- baba wa mikataba mibovu
KIKWETE- baba wa mafisadi
MAGUFULI- baba wa wanyonge
SAMIA- mama wa taifa

nb: itifaki imezingatiwa
 
Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
  • Je, Taifa Lina mababa wawili?
  • Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
  • Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Naombeni tusaidiane majawabu
Huyo ni zaidi ya baba wa taifa!
 
Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
  • Je, Taifa Lina mababa wawili?
  • Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
  • Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Naombeni tusaidiane majawabu
Hahahahahhahaaa jamani hiki kichwa hiki mm hapana nimechekaaa🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom