Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Na ikawe hivyo...Lakini ngoja,huu niwakati wa mapambio ukiisha hamtosikia hilo neno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ikawe hivyo...Lakini ngoja,huu niwakati wa mapambio ukiisha hamtosikia hilo neno
Mkuu ni Shujaa wa Afrika.Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Atakuwa baba wa kufikia! 😅 😅 😅si tulikubaliana familia imara ina baba mmoja?
Huyo ni zaidi ya baba wa taifa!Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Eee,sasa huyu katokea wapi tenaa lakini?
Ila ninyi !! Daahh [emoji16][emoji23][emoji1787]Kwaiyo Mwl. Nyerere ssa hivi ni kama mzee Abdul tu! ila kijani mna mambo[emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahahahhahaaa jamani hiki kichwa hiki mm hapana nimechekaaa🤣🤣🤣🤣Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
HahahhahahahahaaaahaAu hili Taifa linadanga, mababa wamekuwa wengi
Hana tofauti na Nyerere , ukitaja JPM au Nyerere poa tu !
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
That is the missing pointSo let's celebrate demise of a dictator
Yaani naona hawa wenzetu wamevurugwa balaa jamani...huyu kaka ananifurahishaga na mashati yake balaa🤣🤣! 🙌🙌Wangari Maathai mbona unacheka hivyo? 😂😂