Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtakatifu wa Watakatifu woteTuwavumilie tu watu wamekengeuka. Mwisho kesho, wakiiisha mfukia tuendelee na maisha yetu.
Umeuliza swali, umejibiwa alafu hutaki unataka jibu lako.Kitombile mnamaanisha Magufuli ni zaidi ya Baba wa Taifa?
Baba laoWanataka kutuletea lijibaba la kambo
Imekuwaje tena TPA? Leta ubuyu maana yule DG wao aiseeWanaongezea na SHUJAA WA AFRICA, tuwape wiki kadhaa mbele baada ya kuzika, tutaanza kusikia madudu yake, si ninasikia mama keshaanza kazi huko TPA.
Usiwatafutie watu Life BanImekuwaje tena TPA? Leta ubuyu maana yule DG wao aisee
Tutajua hadi alipo Ben Saanane. Utawala ulikuwa dhalimu mno, utawala wa Watu wasiojulikanaBaada ya miezi 2 hakuna mtu atamtaja tena kwa mazuri, haya mazwazwa yanasifia tu muda huu.
Nimesoma sehemu huko Twitter 🤷 Mambo mazitoUsiwatafutie watu Life Ban
Mbona mnateseka sana jamani? Hayati JPM ni shujaa wa Afrika. Hukuwasikio hotuba za Maraisi na viongozi wa AU, SADEC na EAC siku ya kumuaga JPM kitaifa pale Dodoma?John Magufuli sio baba wa Taifa
La baba wa madikteta wa huko ccm
Mtangazaji anajipendekeza apate uteuzi. Lakini oh, too late. Wafu hawajui jambo lolote!Baba wa Taifa gani tena jamanii?
Balaa tupuTutajua hadi alipo Ben Saanane. Utawala ulikuwa dhalimu mno, utawala wa Watu wasiojulikana