Mnapomuita Magufuli baba wa Taifa, mnakuwa mnamaanisha nini?

Mnapomuita Magufuli baba wa Taifa, mnakuwa mnamaanisha nini?

John Magufuli sio baba wa Taifa
La baba wa madikteta wa huko ccm
Mbona mnateseka sana jamani? Hayati JPM ni shujaa wa Afrika. Hukuwasikio hotuba za Maraisi na viongozi wa AU, SADEC na EAC siku ya kumuaga JPM kitaifa pale Dodoma?
 
Back
Top Bottom