Mnapomuita Magufuli baba wa Taifa, mnakuwa mnamaanisha nini?

Mnapomuita Magufuli baba wa Taifa, mnakuwa mnamaanisha nini?

Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
  • Je, Taifa Lina mababa wawili?
  • Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
  • Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Naombeni tusaidiane majawabu
Kuna watu wanajisahaulisha sana utadhani tanzania ndo imepata uhuru miaka angalau sita ilopita. Mambo ya ajabu sana.
 
Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
  • Je, Taifa Lina mababa wawili?
  • Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
  • Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Naombeni tusaidiane majawabu
Tunamanisha tunavyomanisha
 
Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
  • Je, Taifa Lina mababa wawili?
  • Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
  • Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Naombeni tusaidiane majawabu
Walisha zoea kusifu na kutukuza 'they have been brain washed'
 
Back
Top Bottom