Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Tena watakaoongoza kumsema ni hawa hawa maccm wenzake waliokuwa wanaruka ruka barabaraniBaada ya miezi 2 hakuna mtu atamtaja tena kwa mazuri, haya mazwazwa yanasifia tu muda huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena watakaoongoza kumsema ni hawa hawa maccm wenzake waliokuwa wanaruka ruka barabaraniBaada ya miezi 2 hakuna mtu atamtaja tena kwa mazuri, haya mazwazwa yanasifia tu muda huu.
The fall of CCM😒
Khaaaa! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa kawaida familia inakuwa na baba mmoja tu.
Sa mkitutangazia baba mwingine, hamuoni mnamfanya mama kuwa malaya?
Baba wa taifa ndugu JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, yeye na Nyerere wote poa. Nyerere aliipatia uhuru Tanganyika, Magufuli was a cornerstone kwa Tz kuelekea walipo nchi kama china na simgapore etc...ana nafasi yake kubwa sana ktk mabadiliko haya sababu kaweka msingi na standards...Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
😂😂😂 Wanashobokea marehemNimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Naomba majina ya watangazaji mamluki waliothubutu kutamka hivyoNimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
umeokota wapi uongo huu ?any president is national father to his country
Basi Taifa letu Malaya, linakuwaje na mababa wawili?Baba wa taifa ndugu JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, yeye na Nyerere wote poa. Nyerere aliipatia uhuru Tanganyika, Magufuli was a cornerstone kwa Tz kuelekea walipo nchi kama china na simgapore etc...ana nafasi yake kubwa sana ktk mabadiliko haya sababu kaweka msingi na standards...
habari ndio hiyo.
any president is national father to his country
umeokota wapi uongo huu ?
yesu baadae akapanda cheo akawa munguHa ha ha kwani tulikubaliana ni nani?
Tuwavumilie tu watu wamekengeuka. Mwisho kesho, wakiiisha mfukia tuendelee na maisha yetu.Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?