Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

Kitambaa Cheupe was a fine place sio hio kanda ya ufukweni 🤣🤣🤣
Nilipita wavuvi na dogo mmoja amezoea kelele za Tabata,doubleshots mbili za tequila ni Tsh28000n budweiser moja buku tisa.Dogo akachukua risiti akaniambia unaibiwa,nikamuuliza ntaibiwa vipi nimetumia kadi na inaonyesha bei OG.Akaniambia tumalize twende kitambaa cheupe, kufika nyomi yake kila sehemu ukikatiza unaguswa na makalio makubwa,nikajibebea limoja lilikuwa linavuta shisha aisee nililifaida.
 
Ukiamua kukaa na mimi mahali asee nisipangiwe cha kutumia. Uzuri mimi huwa nabeba muamala wangu incase hauko poa nalipa..na pia huwa nakuuliza kama uko njema au uko vibaya nimalize shoo...
dada angu kwenye moja na mbili
 
Duh noma kweli, sema wavuvi camp jamaa anapiga zake hela kinoma. 🤣🤣🤣
 
Ulitumia sh ngapi boss? Na walikuwa wangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…