[emoji1787]Tunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa wetu katika hospital ya crazy for life.
Ndugu chizcom , alifanikiwa kutoroka jana na kuiba simu za ofisi na Sasa anaropoka hovyo tu.
Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo mvumilieni.
Naambatanisha ushahidi wa vyeti alivyovipata kutoka hospital
View attachment 2476220
Vijana wetu hawa[emoji1787]
Umeongea ukweli mchunguUjinga wa bier ni huu. Unaondoka zako peke yako unaagiza bia zako mbili. Kama uliweka dhamira unywe mbili, sasa ukiisaliti dhamira yako ukanywa tatu basi dhamira nayo ina revenge, payback tyme! Unajikuta unatoa simu mwenyewe mfukoni unatafta wana, ooy wewe fisi maji uko wapi? Umbwa wewe njoo unywe mbili, unatafta mwingine na mwingine na mwisho wa siku unajikuta meza ina watu kama saba imetapika vyupa huku mlipaji ukiwa ni wewe. Pesa yako inakusaliti. Hukomi, siku ingine unarudia upuuzi ule ule, i quit
Mkuu hapo ulipo najua una pesa.Sasa bila hela unamualikaje mtu huku ukijua wewe ndo unalipa? ATAFUTE HELA ILI APUNGUZE VIFUATAVYO;
1. Malalamiko
2. Kujieleza
3. Hofu ya kualika watu
4. KUpangia watu vitu vya kuwanunulia
Yeah walikuwa na huruma lakini kwa upande wangu sikujiskia vizuri maana nilijiandaa kwa lolote.Watu wako walikuwa wastaarabu sana.
Mimi nilimwalika ntu kwa mara ya kwanza tu ili tufahamiane na tulikuwa na jambo tungelifanya pamoja.
Huwezi amini alibadili hotel akapendekeza pengine na huko hadi tunamaliza mazungumzo alikata vitu vya more than 300k 😂😂😂
Kama ningekua nimekaa kiboya ningeaibika sema sikuwa mchovu
Ungaichafua meza tuYeah walikuwa na huruma lakini kwa upande wangu sikujiskia vizuri maana nilijiandaa kwa lolote.
😬😬😬😬Nilienda na pisi Moja mimi nakula chips kavu yenyewe ikaagz chips kuku. Back n days lakiniYani mtu umemtoa Lunch au Dinner muwe mnaangalia kwanza mwenyewe kaagiza nini.
Tena jinsia ya KE ndio kabisa huko siwezi kuwazungumiza tujumuishe wote.
Yani ni metoa jamaa tendwe tukapate supu anaona mimi naagiza makongoro ya ng'ombe yeye anaagiza mchemsho wa kuku tena kidali. Kwa nini usisubiri kusikia muhusika kwanza.
Kuna wengine umeagiza chakula cha kawaida yeye anaagiza kushinda wewe.
Tuheshimiane tutakwepana: Jana nampa mtu ofa chukua bia anaona nakunywa balimi yeye anataka windock tena anabugia kwa sifa.
Kama ni dem wala hamuumiagi maana mnajua wapi mnalipizaga... huwa mnaumia Kama ni me wenzenu😇Mkuu hapo ulipo najua una pesa.
Unaonaje umwalike mtu lkn akija achukue BUMBU RUM 3@110,000=330,000
Hivyo ni vinywaji tu ni sawa?
Tuongee uhalisia tusijifiche nyuma ya keyboard😂😂😂😂😂
Na ww utaendaje na pisi mitaa ya maakuli halafu upige mawe ?😬😬😬😬Nilienda na pisi Moja mimi nakula chips kavu yenyewe ikaagz chips kuku. Back n days lakini
Yani mtu umemtoa Lunch au Dinner muwe mnaangalia kwanza mwenyewe kaagiza nini.
Tena jinsia ya KE ndio kabisa huko siwezi kuwazungumiza tujumuishe wote.
Yani ni metoa jamaa tendwe tukapate supu anaona mimi naagiza makongoro ya ng'ombe yeye anaagiza mchemsho wa kuku tena kidali. Kwa nini usisubiri kusikia muhusika kwanza.
Kuna wengine umeagiza chakula cha kawaida yeye anaagiza kushinda wewe.
Tuheshimiane tutakwepana: Jana nampa mtu ofa chukua bia anaona nakunywa balimi yeye anataka windock tena anabugia kwa sifa.
Bajeti naniii, ki pindi hiko wa kusomaNa ww utaendaje na pisi mitaa ya maakuli halafu upige mawe ?
Wewe ndio una roho iyo acha wezio watoe ofa mkuuJifunze roho mbaya ofa si lazima.. Vaa uso wa mbuzi wakati mwingine!
Mpaka naamua kukaa mahali basi huwa nakuwaga poa..Ungaichafua meza tu
Ungewaachia wenye bisu kali wamege minofu hyo .... me ngekwambia kula utakacho then nilipee😂😂Bajeti naniii, ki pindi hiko wa kusoma
Nakumbuka nilikula kinyonge Sanaa😬😬 ilibidi nikamie utelezi atapike alivokulaUngewaachia wenye bisu kali wamege minofu hyo .... me ngekwambia kula utakacho then nilipee😂😂
Sasa kama ni mwanaume wangu namiliki why aabike? Yan nina hela ule chps kavu me kuku? Hapana aseeNakumbuka nilikula kinyonge Sanaa😬😬 ilibidi nikamie utelezi atapike alivokula