IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Bora unione hivyo kuliko nikustiri halafu uanze kushindana na mimi kwenye matumizi bila utaratibu na heshima..Wew ndio una roho iyo acha wezio watoe ofa mkuu
You are matured enough, tulikua teenager tunadateSasa kama ni mwanaume wangu namiliki why aabike? Yan nina hela ule chps kavu me kuku? Hapana asee
Bora unione hivyo kuliko nikustiri halafu uanze kushindana na mimi kwenye matumizi bila utaratibu na heshima..
Kwa taarifa yako ikiwa nimekualika ukaja na watu ujue ukifika tu nakuaga kuondoka.Kumbeeeeeee me nlijuaga mnakulaga wote
Na kumbuka kuna ile team wakomoaji....ameitwa yeye ila atabeba na shoga zake kama 2 ...na wote wamepania kukuonyesha namna wanawake wa daslamu walivyo
Asa umenikuta nakunywa k-vant(Kifutio) halafu wewe unataka absolute vodka si kuniingilia kwenye matumizi mzee😂😂😂Ahaaaa pole pole hatushindani hila nakunywa kile ambacho kinanifaa
Hata nlipokuwa teenager still I would pay kama ninayoYou are matured enough, tulikua teenager tunadate
Daah kama unaita binti hawa wanajiita pisi kama huna hata ya makange na wine 2 au 3...we panda kitandani ulale tu🤣🤣😬😬😬😬Nilienda na pisi Moja mimi nakula chips kavu yenyewe ikaagz chips kuku. Back n days lakini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Daah kama unaita binti hawa wanajiita pisi kama huna hata ya makange na wine...we panda kitandani ulale tu🤣🤣
Kweli hatariMimi niliwahi kumtoa mtu out aliagiza vinywaji na chakula jumla 300k.
Je kama ningekuwa mchovu unafikiri ingekuwaje?
Yes....ikiwa huna hata 200k eti nawe unaita mrembo utoke naye utaaibika tu, we nawa miguu panda kitandani jifunike blanket zito likuliwaze tu...huku ukijipiga kifua kuwa mimi ni faler🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ushauri mzito sana...kwa kuongezea afungue jf jukwaa la siasa asindikizie usingiziYes....ikiwa huna hata 200k eti nawe unaita mrembo utoke naye utaaibika tu, we nawa miguu panda kitandani jifunike blanket zito likuliwaze tu
Au akaselfike tuUshauri mzito sana...kwa kuongezea afungue jf jukwaa la siasa asindikizie usingizi
Sio ustaarabu kabisaKwa taarifa yako ikiwa nimekualika ukaja na watu ujue ukifika tu nakuaga kuondoka.
Hili utalifanya kama nimekuruhusu...vinginevyo usije.
Ishu sio gharama bali sipendagi jam za kijinga
Huko kwenyewe atatamaniAu akaselfike tu
Tunakutana na mengi.Sio ustaarabu kabisa
Asa umenikuta nakunywa k-vant(Kifutio) halafu wewe unataka absolute vodka si kuniingilia kwenye matumizi mzee[emoji23][emoji23][emoji23]
ubabe asiokuwa na uwezo nao😀Huna hela unatoa offer za nini?
Waoaji wenyewe mpooo?? Imebaki kukomoana tu. Kwenye wanaume 50 waoaji wenye commitment na ndoa zao 3Tunakutana na mengi.
Mabinti mnamakusudi sana.
Mkiitwaga mtoke out kama huwa unakunywa savanna 2 au 3...siku hiyo utaagiza Jamason 4 au jack daniel 2 ili kukomoa.
Hujui huyo kesho aweza kuwa mmeo na unaanza kuyakomoa matofali ya nyumba yenu ijayo🤣🤣🤣
Nikikuweka huru kwa kweli chukuaSikuingilii bhna hila si umeniambia niagize chochote
Maana ta chchote nini si hata henessy
[emoji38][emoji38]Huna hela unatoa offer za nini?