Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Dah nawahurumia ndugu zangu wa kiumeNi fahari ya macho ile kuangalia uumbaji. Si unajua sikuhizi Bongo unywamwezi mwingiii
Sjui tuwafiche wapii??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah nawahurumia ndugu zangu wa kiumeNi fahari ya macho ile kuangalia uumbaji. Si unajua sikuhizi Bongo unywamwezi mwingiii
Mkuu idara yetu vipi?Ile ya "vikamba?"
Tuna idara nyingi banaaa embu fungua code..!!Mkuu idara yetu vipi?
Kwanini nikome?Ndio ukome.
Hamna namna msilaze damu tu maana mambo hadharani sikuhizi, ukibana coco mwenzio wa bahari beach anavua 🤣🤣🤣Dah nawahurumia ndugu zangu wa kiume
Sjui tuwafiche wapii??
ChumaTuna idara nyingi banaaa embu fungua code..!!
Afu hamu yote inaishia kwenye kuona. Ukifika kwa " Nakadori "" wako, mambo yanakuwa ndivyo sivyo..!!Dah nawahurumia ndugu zangu wa kiume
Sjui tuwafiche wapii??
Daah umefika wapi huko mkuu?Hamna namna msilaze damu tu maana mambo hadharani sikuhizi, ukibana coco mwenzio wa bahari beach anavua 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hamna namna msilaze damu tu maana mambo hadharani sikuhizi, ukibana coco mwenzio wa bahari beach anavua 🤣🤣🤣
Maisha who!!!!Kwanini nikome?
Kuna chako naharibu?
Wacha niishi maisha yangu
Nyie mafaller mmefika dunia gani?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ukijitia kubana anapatia mlango wa pili.
Watoe tuu
😳😳😳😳😳Unajua sijakuita kwa koment zangu ee.
Hebu piti hivii
Maisha ndio haya haya we live everyday but die once. Enjoy the living tafuna mfupa ikiwa meno ipo.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ukijitia kubana anapatia mlango wa pili.
Watoe tuu
aisee unayawezaUjue nikiridhia niwe mahali flani niko tayari kwa lolote...nakupa uhuru eidha uutumue uhuru wako vizuri au vibaya...then subiri masahihisho🤣
Kama siko poa sikubali aibu so haturaenda pale
Hahaha sio kila mara binti yangu.aisee unayaweza
🙌
Tupo Green Earth bruh 🤣 same world!Nyie mafaller mmefika dunia gani?🤣🤣
NdiyoKaka kwaio nikiagiza mfano kikazidi 3000 utagoma kulipa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ya wavuvi campNyie mafaller mmefika dunia gani?🤣🤣