Mnasema Bongo vyuma vimekaza

Nigeria mambo yakiwa magumu sana pilipili hupondwa kwenye kinu ikaangawa na mafuta ya mawese, hii ni mboga ya kulia wali, ugali au yam la kuchemsha. Baada ya hapo watoto wanapewa maji ya kunywa siku imepita.
Huku kwetu tunakula visivyoliwa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…