Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Bada ya wakimbizi wa kipalestina kuondelewa kutoka Jordan walipokelewa na Lebanon, nchi ambayo ilikuwa yenye mchanganyiko wa wakristu na waislam. Wakristu walikuwa wengi kuliko waislam.
Sasa hawa jamaa walivyofika kule lebanon, kwa kuwa fujo na ubaguzi ndio asili yao, wakaanza vugu vugu kwa kuwashawishi waislam wenzao waliowakuta kuwa watakaaje nchi moja na wakristu wenye vyeo na mali.
Kwa kuwa asili ya itikadi kali ni jihad, na wanaamini kumuangamiza asieamini au kusali kama wao ni halali, basi wakaanza vita ya wenyewe wenyewe, waislam dhidi ya wakristo.
Kilichofatia sasa ni vifo na kuporomoka kwa uchumi wa lebanon.
Hamas ni mkakati wa kijihad, ndio maana viongozi wao ni matajiri alafu wananchi wa gaza wana taabika. Ndio maana wanajificha nyuma ya jamii za watu kupigana na Israel. Ndio maana wanaiba misaada inayoletwa kwa ajili ya walioathirika na vita. Ndio maana njia zao za vita ni za kinyama sana.
SOMA PIA NYUZI ZANGU HIZI:
www.jamiiforums.com
Nyie wa kujiita kizazi cha Ismael si mlipewa maeneo yenu binafsi sasa mnahangaika nini na Israel
www.jamiiforums.com
Jihadi haina utakatifu wowote, ni mkakati wa matamanio binafsi ya waasisi wa itikadi kali
Sasa hawa jamaa walivyofika kule lebanon, kwa kuwa fujo na ubaguzi ndio asili yao, wakaanza vugu vugu kwa kuwashawishi waislam wenzao waliowakuta kuwa watakaaje nchi moja na wakristu wenye vyeo na mali.
Kwa kuwa asili ya itikadi kali ni jihad, na wanaamini kumuangamiza asieamini au kusali kama wao ni halali, basi wakaanza vita ya wenyewe wenyewe, waislam dhidi ya wakristo.
Kilichofatia sasa ni vifo na kuporomoka kwa uchumi wa lebanon.
Hamas ni mkakati wa kijihad, ndio maana viongozi wao ni matajiri alafu wananchi wa gaza wana taabika. Ndio maana wanajificha nyuma ya jamii za watu kupigana na Israel. Ndio maana wanaiba misaada inayoletwa kwa ajili ya walioathirika na vita. Ndio maana njia zao za vita ni za kinyama sana.
SOMA PIA NYUZI ZANGU HIZI:
Nyie wa kujiita kizazi cha Ismael si mlipewa maeneo yenu binafsi sasa mnahangaika nini na Israel
Agano la Mungu ilikuwa ni kiumbe kitakachotoka kwenye viuno vya Ibrahimu na Sarah. Ndio maana Ismael aliezaliwa na Ibrahimu na kijakazi wao hakupewa heshima ya agano la nchi ya ahadi ila Ismael alipewa baraka zake binafsi. Ismael na mama yake waliamrishwa kwenda maeneo ya mbali na sio kukaa...
Nyie wa kujiita kizazi cha Ismael si mlipewa maeneo yenu binafsi sasa mnahangaika nini na Israel
Jihadi haina utakatifu wowote, ni mkakati wa matamanio binafsi ya waasisi wa itikadi kali
Ngoja nikuambie vyema mpendwa kama hautaki kuelewa basi bishana na mizimu ya nyumbani kwenu. Hakika njia iliobaki kipindi waasisi wenu wanaijenga imani yenu na kuisambaza ilikuwa ni force na intimidation. Kipindi Muhamad anaanzisha imani yenu aliwahakikishia imani nyingine za uyahudi na...
Jihadi haina utakatifu wowote, ni mkakati wa matamanio binafsi ya waasisi wa itikadi kali