Mnashindwa kuelewa, Hamas hawapo kuikomboa ardhi bali ni kutekeleza itikadi

Mnashindwa kuelewa, Hamas hawapo kuikomboa ardhi bali ni kutekeleza itikadi

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Bada ya wakimbizi wa kipalestina kuondelewa kutoka Jordan walipokelewa na Lebanon, nchi ambayo ilikuwa yenye mchanganyiko wa wakristu na waislam. Wakristu walikuwa wengi kuliko waislam.

Sasa hawa jamaa walivyofika kule lebanon, kwa kuwa fujo na ubaguzi ndio asili yao, wakaanza vugu vugu kwa kuwashawishi waislam wenzao waliowakuta kuwa watakaaje nchi moja na wakristu wenye vyeo na mali.

Kwa kuwa asili ya itikadi kali ni jihad, na wanaamini kumuangamiza asieamini au kusali kama wao ni halali, basi wakaanza vita ya wenyewe wenyewe, waislam dhidi ya wakristo.

Kilichofatia sasa ni vifo na kuporomoka kwa uchumi wa lebanon.

Hamas ni mkakati wa kijihad, ndio maana viongozi wao ni matajiri alafu wananchi wa gaza wana taabika. Ndio maana wanajificha nyuma ya jamii za watu kupigana na Israel. Ndio maana wanaiba misaada inayoletwa kwa ajili ya walioathirika na vita. Ndio maana njia zao za vita ni za kinyama sana.

SOMA PIA NYUZI ZANGU HIZI:

Nyie wa kujiita kizazi cha Ismael si mlipewa maeneo yenu binafsi sasa mnahangaika nini na Israel


Jihadi haina utakatifu wowote, ni mkakati wa matamanio binafsi ya waasisi wa itikadi kali
 
Bada ya wakimbizi wa kipalestina kuondelewa kutoka Jordan walipokelewa na Lebanon, nchi ambayo ilikuwa yenye mchanganyiko wa wakristu na waislam. Wakristu walikuwa wengi kuliko waislam.

Sasa hawa jamaa walivyofika kule lebanon, kwa kuwa fujo na ubaguzi ndio asili yao, wakaanza vugu vugu kwa kuwashawishi waislam wenzao waliowakuta kuwa watakaaje nchi moja na wakristu wenye vyeo na mali.

Kwa kuwa asili ya itikadi kali ni jihad, na wanaamini kumuangamiza asieamini au kusali kama wao ni halali, basi wakaanza vita ya wenyewe wenyewe, waislam dhidi ya wakristo.

Kilichofatia sasa ni vifo na kuporomoka kwa uchumi wa lebanon.

Hamas ni mkakati wa kijihad, ndio maana viongozi wao ni matajiri alafu wananchi wa gaza wana taabika. Ndio maana wanajificha nyuma ya jamii za watu kupigana na Israel. Ndio maana wanaiba misaada inayoletwa kwa ajili ya walioathirika na vita. Ndio maana njia zao za vita ni za kinyama sana.

SOMA PIA NYUZI ZANGU HIZI:

Nyie wa kujiita kizazi cha Ismael si mlipewa maeneo yenu binafsi sasa mnahangaika nini na Israel


Jihadi haina utakatifu wowote, ni mkakati wa matamanio binafsi ya waasisi wa itikadi kali
Muda si mrefu wamepigwa kipigo cha mbwa. Walitaka kutumia Ambulance kutoroka wote wameteketea
 
Wanatakiwa waangamizwe pale gaza haoahitaji magaidi uzuri netanyaubl asikilizi upuuzi wowote zaidi ya kufyeka magaidi
 
Muda si mrefu wamepigwa kipigo cha mbwa. Walitaka kutumia Ambulance kutoroka wote wameteketea
Screenshot_2023_1103_204851.jpg
 
Cha ajabu sasa propaganda zote hizi Wakristo Wa Lebanon na Palestina wapo mkono kwa mkono na waisilamu wenzao, mpaka Raisi ambaye ni Mkristo anasuport Hezbollah na hii ni kauli Yake.

"We chose this long-term political option, because we knew that the interests of the West do not lie with us. Its interests lie with Israel, on one hand, and with the oil, on the other hand. We are not included among its interests at present. The only thing it cares about is resolving the problem of Israel at our expense, through the naturalization of the Palestinians in Lebanon, and pleasing the oil-producing countries, because its material interests lie there. Therefore, we had to choose a policy of coordination with all elements of Lebanese society, and with our neighboring countries, in order to build strong, solid, and mutual relations. Lebanese society in general, and the Christians in particular, are not used to this, and therefore, it has aroused fear and concern. However, our confidence in ourselves, in the choice we made, and in our views have made it possible for us to stand before you, and to ask you to give the efforts we are undertaking a chance. A short while ago, in Doha, we saw the results. All the Christians in the Middle East, all the Christians in the Middle East are fleeing, while the Christians of Lebanon are returning. The forecasts of the entire world. For 25–35 years, we have been reading that the Christians in the Middle East are becoming extinct. Western policies have led the Christians in the Middle East towards extinction. Western policies have not left a single Christian in Palestine and the holy places. Western policies have not left a single Christian in Iraq. They intended to get rid of us by marginalizing us, and by treating us as a superfluous element in society."[91]

Hayo ndio Madhila wanayopata Wakristo Wa Middle East na ndio maana wameungana Na waisilamu kwa maelfu Ya Miaka kupigana na west.

Soma Historia
Hakuna jamii au kabila lisilo na asili, hivi Wayahudi asili yao ni wapi mkuu?
 
Hakuna jamii au kabila lisilo na asili, hivi Wayahudi asili yao ni wapi mkuu?
Middle East, ila hilo halifanyi Hio ardhi kuwa yao peke yao.

Wayahudi Wakristo na waisilamu walikua wakiishi pamoja Palestina kwa maelfu Ya miaka, then kuna kundi moja likaamua kuua wengine ili limiliki sehemu pekee.
 
Middle East, ila hilo halifanyi Hio ardhi kuwa yao peke yao.

Wayahudi Wakristo na waisilamu walikua wakiishi pamoja Palestina kwa maelfu Ya miaka, then kuna kundi moja likaamua kuua wengine ili limiliki sehemu pekee.
Yaani eneo lao exactly ni lipi hapo Middle East?, kwa maelezo yako ni kuwa hawa wote walikuwa wanaishi Palestina kwa miaka mingi, ombi langu ni kujua wao Wayahudi origin yao na ardhi yao ilikuwa ipi?.

Ninatanguliza shukrani zangu kwako mkuu ili na mimi nijifunze
 
Yaani eneo lao exactly ni lipi hapo Middle East?, kwa maelezo yako ni kuwa hawa wote walikuwa wanaishi Palestina kwa miaka mingi, ombi langu ni kujua wao Wayahudi origin yao na ardhi yao ilikuwa ipi?.

Ninatanguliza shukrani zangu kwako mkuu ili na mimi nijifunze
Origin yao ni Iraq, Babylon kwa Babu Yao Ibrahim, baadae Ibrahim akaenda Palestina na Yaaqub pia amezaliwa Palestina, so wana Claim pia Palestina.

Wayahudi wana Makabila 12 (watoto wa Yaaqub) ila kwa modern times ni kama makabila matatu tu yapo Yehuda, Benjamin na Levi, so Majority ya wayahudi sio wayahudi Leo na ni 3/12 aka Robo ya makabila ndio bado wanajitambua kama wayahudi.

Tafiti Karibia zote za Kisayansi zinaonesha wapalestina wa sasa wana nasaba mpaka asilimia 60 ya wayahudi wa kale, na wao ni Eneo Lao Pia hilo la Ki asili. Ukumbuke Lebanon, Palestina na levant Arab wengine sio waarabu kiasili bali wamekua Arabized baada ya Uisilamu kusambaza Middle East.

Na kabla ya Taifa la Israel 1948 kuna wayahudi waarabu wanaitwa Mizrahi walikuwepo Palestina na Dini zote tatu Zilikua zina Exist pamoja, si wayahudi wote walikua Ulaya.
 
Origin yao ni Iraq, Babylon kwa Babu Yao Ibrahim, baadae Ibrahim akaenda Palestina na Yaaqub pia amezaliwa Palestina, so wana Claim pia Palestina.

Wayahudi wana Makabila 12 (watoto wa Yaaqub) ila kwa modern times ni kama makabila matatu tu yapo Yehuda, Benjamin na Levi, so Majority ya wayahudi sio wayahudi Leo na ni 3/12 aka Robo ya makabila ndio bado wanajitambua kama wayahudi.

Tafiti Karibia zote za Kisayansi zinaonesha wapalestina wa sasa wana nasaba mpaka asilimia 60 ya wayahudi wa kale, na wao ni Eneo Lao Pia hilo la Ki asili. Ukumbuke Lebanon, Palestina na levant Arab wengine sio waarabu kiasili bali wamekua Arabized baada ya Uisilamu kusambaza Middle East.

Na kabla ya Taifa la Israel 1948 kuna wayahudi waarabu wanaitwa Mizrahi walikuwepo Palestina na Dini zote tatu Zilikua zina Exist pamoja, si wayahudi wote walikua Ulaya.
Asili ya Wapalestina inaanza na Ibrahim pia?
 
Asili ya Wapalestina inaanza na Ibrahim pia?
Scientifically yes, Wapalestina na Waisrael Dna zao zinafanana.

Ndio maana kila siku humu naongea Ugomvi huu Sayansi haitumiki sababu ita prove claim ya Wapalestina, unafiki wa Nchi za Magharibi.
 
Back
Top Bottom