Mnashindwa kuelewa, Hamas hawapo kuikomboa ardhi bali ni kutekeleza itikadi

Mnashindwa kuelewa, Hamas hawapo kuikomboa ardhi bali ni kutekeleza itikadi

Scientifically yes, Wapalestina na Waisrael Dna zao zinafanana.

Ndio maana kila siku humu naongea Ugomvi huu Sayansi haitumiki sababu ita prove claim ya Wapalestina, unafiki wa Nchi za Magharibi.
Sasa kwa nini Wayahudi wao asili yao iwe Iraq halafu Wapalestina isiwe Iraq?, nimezingatia maelezo yako ya awali uliyoniambia kuwa Wayahudi origin yao ni Iraq.
 
Sasa kwa nini Wayahudi wao asili yao iwe Iraq halafu Wapalestina isiwe Iraq?, nimezingatia maelezo yako ya awali uliyoniambia kuwa Wayahudi origin yao ni Iraq.
Wote asili yao moja, hio ya Iraq ni kuonyesha ancestor ametoka wapi, ila Scientifically Wote wana Gene moja wanatofautiana tu Culture na Dini.
 
Wote asili yao moja, hio ya Iraq ni kuonyesha ancestor ametoka wapi, ila Scientifically Wote wana Gene moja wanatofautiana tu Culture na Dini.
Kwa hiyo huko wanakogombania ardhi ni mali ya wote pia au inamilikiwa na Wapalestina?
 
Kwa hiyo huko wanakogombania ardhi ni mali ya wote pia au inamilikiwa na Wapalestina?
Hio sehemu imani zote 3 Zilikua zina Exist kwa Amani, si waisilamu, si wayahudi, si Wakristo waliokuwa wanaclaim eneo ni lao peke yao.

Hata walivyokua wakija Wayahudi toka Ulaya walipokelewa na Wapalestina wakawa wanaishi nao kwenye nyumba zao.

Just imagine mtu humjui anatoka bara jengine unamkaribisha kwako anakula na watoto wako na mkeo, hao ndio wapalestina walivyowakaribisha wayahudi toka ulaya.

Ugomvi umekuja baada ya Zionist kujimilikisha hilo eneo Kwa Msaada wa Uingereza.
 
Hio sehemu imani zote 3 Zilikua zina Exist kwa Amani, si waisilamu, si wayahudi, si Wakristo waliokuwa wanaclaim eneo ni lao peke yao.

Hata walivyokua wakija Wayahudi toka Ulaya walipokelewa na Wapalestina wakawa wanaishi nao kwenye nyumba zao.

Just imagine mtu humjui anatoka bara jengine unamkaribisha kwako anakula na watoto wako na mkeo, hao ndio wapalestina walivyowakaribisha wayahudi toka ulaya.

Ugomvi umekuja baada ya Zionist kujimilikisha hilo eneo Kwa Msaada wa Uingereza.
Bado sijapata majibu, tukirudi mfano miaka 2500 -3000 nyuma, hiyo ardhi ilikuwa inamilikiwa na jamii ipi?
 
Bado sijapata majibu, tukirudi mfano miaka 2500 -3000 nyuma, hiyo ardhi ilikuwa inamilikiwa na jamii ipi?
Scientifically hao hao wa sasa wanaopatikana Israel NA Palestina ndio hao hao walikua wanaishi miaka 3000 iliopita.
 
Back
Top Bottom