Mnasubiri mpaka nife ndio mniletee maua kaburini ?????

Mnasubiri mpaka nife ndio mniletee maua kaburini ?????

sina jingine Bidada la Kericho!!

kama nikiwa na laziada nita ku-PM
 
Suszy umesema
na kwa marafiki subiri maneno badala ya maua
na jicho kama la wasanii wa Kinigeria
 
black woman!!

jicho kama la wasanii wa Kinigeria ndio likoje?????
 
Mshukuruni kwa thread kwanza ndio muanze lawama...Hamjaelewa alichosema?..Mnasubiri mpaka AFE ndio mseme thread yake ilikuwa muhimu!..Watz bana!

Hahahahaha...mi leo full kucheka!!!!
 
jamani susy....kwa nini unaninyanyasa hivi na hii font lakini?

Susy....
Asante sana kwa maoni yako mazuri. Hata ngazi ya famili au ofisi tuna nafasi ya kufanya hayo uliyoyasema. Muhimu kila mtu kuanza...

Preta..
Mpe pongezi kwa post kwanza halafu umwombe aongeze font...lugha uliyotumia ni la kulalamika. Mwambie hivi Susy itapendeza zaidi kama hiyo font ukiongeza kidogo.
 
WATANZANIA BANA....SHIDA TUPU!!!! kweli umeongea kitu cha msingi sansa dada yangu!! watu kilakukicha kwa mzee yahya! Utasikia wameleta bajaji kwa wajawazito hivi niulize kitu bajaji ina 4WD? au mpaka wafe ndio mwapelekee maua??????
 
Haya mi nimeziwasilisha ukiwa mzima :A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:.
 
asante kwa kutukumbusha yatupasayo kufanya kwa wenzetu Susy....Blessings!!
 
Huwa nataabika sana!!
najiuuliza sipati majibu!!

ni kwanini watanzania tupo hivi??? ni kwanini serikali yetu ipo hivi??

Tumelogwa sie???????? nani katuloga???????

kwanini ukimuona mwenzio amefanya jambo zuri kwanini huwezi kumsifiaa??? kwanini huwezi kumtia moyo?? kumwambia songa mbele, Mungu akutie nguvu, kazi yako ni njema, umejitahidi rafiki songa mbele zaidi, Mungu na akupigishe hatua zaidi!!!

utakuta mtu akifanya jambo zuri hakuna wakumtia moyo zaidi watu wanaanza kumbeza, kajumba gani kale alikojenga mhh kataezuliwa na upepo siku si nyingi, mmeona huyo mke aliyeoa/mme aliyemuoa sijui kama watafika mbali, eeehh eti kanunua gari, kagari kenyewe mmekaona, tena kamkopo basi!!

kuna mpaka maadhimisho ya nyerere day!! mnamuenzi mwl kwa rushwa?? na ufisadi??? je alipokuwepo hai mlipongeza kwa aliyofanya? mlimtia moyo??

je mnasubiri watu wafe ndio muwasifie??

mfano hai tu ni yule mzee wa watu wa loliondo mnataka afe ndio mumsifie?? kwanini serikali haimtii moyo?? kwnn haimpigishi hatua zaidi? eti ooh asitoe kwanza dawa mpaka uchunguzi ufanyike??

mbona shehe yahya mnamwendea kuchukua majini lkn hamsemi kuwa majini yanaua??????


soma signature yangu.....tubadilike wana JF

Nawakilisha!!

weee weeee kuna mawaziri makatibu wa afya wana maduka ya dawa zaidi ya 50 kila mmoja wamegawana wilaya na kata kama si serikali za mitaa wanahisi maisha yao kuwa ahatarini kwa maji ya babu nahisi hapa mkulu aliekunywa atueleze amepona ama??na tumwekee kaulinzi kababu chetu
 
Hii thread heading yake imenistua.
Kweli susy, nafikiri roho za kwanini zinasumbua watu wengi.
Ukiwa nacho hawakikubali ukikikosa wanakucheka.
 
Back
Top Bottom