Jaji matundu
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 251
- 92
Magoli ya simba sc dhidi ya vita ndio matokeo ua chadema vs ccm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andiko zuri kabisaHuyu mgombea ambaye ndiye Rais amalizaye muda wake na anaomba tena watanzania wampe tena miaka mingine 5 ili aendeleze kipaumbele chake kwenye kununua ndege, kujenga madaraja, kujenga reli, kujenga viwanja vya ndege na yanayofanana na hayo.
Lakini hebu tujiulize ameyafanya hayo miaka yote 5, Je! Mtanzania wa kawaida anayependa kumuita mnyonge amenufaika na nini? zaidi ya kushuhudia ugumu wa maisha kila kukicha?
Rais ambaye unapotaja maendeleo yeye akilini mwake huja flyover, madaraja, reli na midege huyu hatufai.
Rais amabye unapotaja kuboresha afya yeye akilini mwake huja majengo anayoyaita hospitali bila kuangalia soft elements ambazo ndiyo muhimu mfano idadi ya madaktari wanaolipwa vizuri, madawa na vifaa vya matibabu.
Nawakumbusha watanzania kuwa kwa sasa hakuna nchi yenye miundombinu ya kustaajabisha mfano wa flyovers, madaraja, reli duniani kama China lakini raia wake kila kukicha wanazamia kuja Ulaya, kila siku wanakamatwa kwenye makontena. Ukiwauliza tatizo nini ukiwa unafahamu kuwa China ni nchi tajiri kimiundombinu, watakwambia wanahitaji maisha bora na uhuru.
Sasa huyu kila siku yeye anasema anataka kuifanya Tanzania iwe kama Ulaya sijui anajua China iko Ulaya? ni bora angekuwa anasema anataka kuifanya Tanzania kuwa kama China (kitu amabacho nacho hawezi) tungekubaliana naye lakini kwa ubora wa maisha amekwishafeli.
NI WAKATI SASA WANANCHI KUCHAGUA IKIWA MNATAKA RAIS AMBAYE ATAJENGA MIUNDOMBINU AKIBORESHA MAISHA YENU PIA, AU RAIS AMBAYE KWAKE YEYE MAENDELEO NI MIUNDOMBINU PEKEE BILA KUBORESHA MAISHA HALISI YA MWANANCHI NA KUMPATIA UHURU WAKE.
Ni wakati wa kuchagua Tundu Lissu ili ujengewe miundombinu huku maisha yako na uhuru vikiboreshwa ama John Magufuli ambaye tafsiri ya maendeleo kwake yeye ni ujenzi pekee huku akiminya haki za binadamu na kufuta uhuru wa kujieleza.
Jioni njema
Wewe ulishawahi kuonja uhuru wa u guy huo mnaoutaka?Jitu linajifanya kushabikia sijui ndege sijui maendeleo ya madaraja wakati ndege hajawahi panda na wala hana gari la kupitisha katika hilo daraja.
Harafu yeye choka mbaya mnyonge anajiita
kila aliyefanikiwa anamuona mwizi na freemason.
kama mkichagua tena mkapimwe akili maana mtakuwa mnamatatizo.
Bila wao watawala wa kiafrica wangekuwa wanatubanika live Kama nyama,waafrika hawana uwezo wa kujiongoza Ni lzm wauwane,waibiane,wawaumize wenzao,waibe kodi za wananchi,wapendelee kwao
kabla ya mzungu afrika kulikua na tawala zao ambazo hakukua na haya mambo uloyataja hapa.Bila wao watawala wa kiafrica wangekuwa wanatubanika live Kama nyama,waafrika hawana uwezo wa kujiongoza Ni lzm wauwane,waibiane,wawaumize wenzao,waibe kodi za wananchi,wapendelee kwao
Miradi yote ya CCM imejaa kasoro mapungufu makubwa kuna ufisadi wa kutisha, SGR wana miezi minne hawajalipwa pesa zao, ujenzi ni wa kusuasua pesa zote amekuchua mtukufu mwenyekiti wa CCM kupeleka chato na kwenye kampeniHuyu mgombea ambaye ndiye Rais amalizaye muda wake na anaomba tena watanzania wampe tena miaka mingine 5 ili aendeleze kipaumbele chake kwenye kununua ndege, kujenga madaraja, kujenga reli, kujenga viwanja vya ndege na yanayofanana na hayo.
Lakini hebu tujiulize ameyafanya hayo miaka yote 5, Je! Mtanzania wa kawaida anayependa kumuita mnyonge amenufaika na nini? zaidi ya kushuhudia ugumu wa maisha kila kukicha?
Rais ambaye unapotaja maendeleo yeye akilini mwake huja flyover, madaraja, reli na midege huyu hatufai.
Rais amabye unapotaja kuboresha afya yeye akilini mwake huja majengo anayoyaita hospitali bila kuangalia soft elements ambazo ndiyo muhimu mfano idadi ya madaktari wanaolipwa vizuri, madawa na vifaa vya matibabu.
Nawakumbusha watanzania kuwa kwa sasa hakuna nchi yenye miundombinu ya kustaajabisha mfano wa flyovers, madaraja, reli duniani kama China lakini raia wake kila kukicha wanazamia kuja Ulaya, kila siku wanakamatwa kwenye makontena. Ukiwauliza tatizo nini ukiwa unafahamu kuwa China ni nchi tajiri kimiundombinu, watakwambia wanahitaji maisha bora na uhuru.
Sasa huyu kila siku yeye anasema anataka kuifanya Tanzania iwe kama Ulaya sijui anajua China iko Ulaya? ni bora angekuwa anasema anataka kuifanya Tanzania kuwa kama China (kitu amabacho nacho hawezi) tungekubaliana naye lakini kwa ubora wa maisha amekwishafeli.
NI WAKATI SASA WANANCHI KUCHAGUA IKIWA MNATAKA RAIS AMBAYE ATAJENGA MIUNDOMBINU AKIBORESHA MAISHA YENU PIA, AU RAIS AMBAYE KWAKE YEYE MAENDELEO NI MIUNDOMBINU PEKEE BILA KUBORESHA MAISHA HALISI YA MWANANCHI NA KUMPATIA UHURU WAKE.
Ni wakati wa kuchagua Tundu Lissu ili ujengewe miundombinu huku maisha yako na uhuru vikiboreshwa ama John Magufuli ambaye tafsiri ya maendeleo kwake yeye ni ujenzi pekee huku akiminya haki za binadamu na kufuta uhuru wa kujieleza.
Jioni njema
But ndizo zilizoshiriki kumuuza mwafrika kwa mzungu na mwarabu Kama mtumwa,pia ndizo zilizopromote slave trade iweje mwarabu anatoka Kongo anavuka kigoma Hadi bagamoyo na anapita kwenye vijiji na pana watu walishindwa vipi kuwauwa hao waarabu ili kuwakomoa waafrika wenzao,ubinafsi wa watawala wa kiafrica haukuanzia leokabla ya mzungu afrika kulikua na tawala zao ambazo hakukua na haya mambo uloyataja hapa.
Nchi imeuzwa chato pesa zote wamekomba Hazina kwenda kwenye kibubu chake zingine kapeleka kwenye kampeniUnawashawishi Watanzania wachague majambazi na wauza nchi...
Kwani jengo la chadema limekamilika.Miradi yote ya CCM imejaa kasoro mapungufu makubwa kuna ufisadi wa kutisha, SGR wana miezi minne hawajalipwa pesa zao, ujenzi ni wa kusuasua pesa zote amekuchua mtukufu mwenyekiti wa CCM kupeleka chato na kwenye kampeni
Miradi mingi mipya imeanzishwa kama sehemu ya kuzipigia Kodi zetu kuzitakatisha thus Hakuna uwazi kwenye mikataba Wala kujua risiti za ndege kujua zimenunuliwa vipi,bei gani,zimeingiza ngapi Ni mtu na mjomba wake ndo ujiamulia wengine sie kazi yetu ni kulazimishwa kulipa Kodi na sio kujua imetumika vipiMiradi yote ya CCM imejaa kasoro mapungufu makubwa kuna ufisadi wa kutisha, SGR wana miezi minne hawajalipwa pesa zao, ujenzi ni wa kusuasua pesa zote amekuchua mtukufu mwenyekiti wa CCM kupeleka chato na kwenye kampeni
Kwanza miradi yote mikubwa ina ufisadi mkubwa na wanufaika wa hiyo miradi ni wanaccmTusingekuwa tunawakamata wa Ethiopia kila wa leo kwenye malori wakati wana bwawa kubwa kiliko Stiegler, wana SGR inayofanya kazi na wana shirika kubwa la ndege,moja ya mashirika makubwa sana Afrika
Hadi Chato iwe ulaya kwanzaKwani jengo la chadema limekamilika.
Watu kama nyinyi mtaishia kupanga tu kwa tamaa za kula vinono,kujenga kunaitaji kujibana.Hadi Chato iwe ulaya kwanza
Majengo ya CCM ni ya vyama vyote mwaka 1991 baada ya Tanzania kutangazwa ni Nchi ya mfumo wa vyama vingi ilipaswa majengo viwanja mali za CCM vigawanywe kwa vyama vyote, chadema haiwezi kujenga jengo jipya wakati inajua majengo ya CCM ni yao.Kwani jengo la chadema limekamilika.
MUNGU asikie kilio chetu hiki chama kiondoke madarakani haya maombi ya huyu yatimie kwa kweliKilipofikia chama pendwa kwa sasa!View attachment 1553337
Daaa jamaa anatupiga sanaMiradi yote ya CCM imejaa kasoro mapungufu makubwa kuna ufisadi wa kutisha, SGR wana miezi minne hawajalipwa pesa zao, ujenzi ni wa kusuasua pesa zote amekuchua mtukufu mwenyekiti wa CCM kupeleka chato na kwenye kampeni
Furaha yake ni kuona machozi ya watz,angepewa haki ya kugawa pumzi wallahi hakuna angelibaki dunianiLi jamaa likilala likiamka linawaza mi ndege na treni ya umeme tu, hakuna wananchi wake mifuko imetoka mnoooo
Wengine waliotaka afe wametangulia wao kwanza kina nyaulingoMUNGU asikie kilio chetu hiki chama kiondoke madarakani haya maombi ya huyu yatimie kwa kweliView attachment 1553582