Uchaguzi 2020 Mnataka tuendelee kuwa na Rais wa miundombinu? Ingekuwa miundombinu ndiyo kipaumbele cha mtu wachina wasingekamatwa kwenye makontena wakizamia Ulaya

Duniani kote wanaharakati na wapigania haki za binadamu huwa wanafadhiliwa ivyo hakuna mtu atakaye kuwa tayari akupe ufadhili bila kuwa na agenda nyuma yake,wanaharakati na mawakili hawawezi kuendesha nchi.
 
Andiko zuri kabisa
 
Wewe ulishawahi kuonja uhuru wa u guy huo mnaoutaka?
 
Bila wao watawala wa kiafrica wangekuwa wanatubanika live Kama nyama,waafrika hawana uwezo wa kujiongoza Ni lzm wauwane,waibiane,wawaumize wenzao,waibe kodi za wananchi,wapendelee kwao
Bila wao watawala wa kiafrica wangekuwa wanatubanika live Kama nyama,waafrika hawana uwezo wa kujiongoza Ni lzm wauwane,waibiane,wawaumize wenzao,waibe kodi za wananchi,wapendelee kwao
kabla ya mzungu afrika kulikua na tawala zao ambazo hakukua na haya mambo uloyataja hapa.
 
Miradi yote ya CCM imejaa kasoro mapungufu makubwa kuna ufisadi wa kutisha, SGR wana miezi minne hawajalipwa pesa zao, ujenzi ni wa kusuasua pesa zote amekuchua mtukufu mwenyekiti wa CCM kupeleka chato na kwenye kampeni
 
kabla ya mzungu afrika kulikua na tawala zao ambazo hakukua na haya mambo uloyataja hapa.
But ndizo zilizoshiriki kumuuza mwafrika kwa mzungu na mwarabu Kama mtumwa,pia ndizo zilizopromote slave trade iweje mwarabu anatoka Kongo anavuka kigoma Hadi bagamoyo na anapita kwenye vijiji na pana watu walishindwa vipi kuwauwa hao waarabu ili kuwakomoa waafrika wenzao,ubinafsi wa watawala wa kiafrica haukuanzia leo
 
Unawashawishi Watanzania wachague majambazi na wauza nchi...
Nchi imeuzwa chato pesa zote wamekomba Hazina kwenda kwenye kibubu chake zingine kapeleka kwenye kampeni
 
Miradi yote ya CCM imejaa kasoro mapungufu makubwa kuna ufisadi wa kutisha, SGR wana miezi minne hawajalipwa pesa zao, ujenzi ni wa kusuasua pesa zote amekuchua mtukufu mwenyekiti wa CCM kupeleka chato na kwenye kampeni
Kwani jengo la chadema limekamilika.
 
Miradi yote ya CCM imejaa kasoro mapungufu makubwa kuna ufisadi wa kutisha, SGR wana miezi minne hawajalipwa pesa zao, ujenzi ni wa kusuasua pesa zote amekuchua mtukufu mwenyekiti wa CCM kupeleka chato na kwenye kampeni
Miradi mingi mipya imeanzishwa kama sehemu ya kuzipigia Kodi zetu kuzitakatisha thus Hakuna uwazi kwenye mikataba Wala kujua risiti za ndege kujua zimenunuliwa vipi,bei gani,zimeingiza ngapi Ni mtu na mjomba wake ndo ujiamulia wengine sie kazi yetu ni kulazimishwa kulipa Kodi na sio kujua imetumika vipi
 
Tusingekuwa tunawakamata wa Ethiopia kila wa leo kwenye malori wakati wana bwawa kubwa kiliko Stiegler, wana SGR inayofanya kazi na wana shirika kubwa la ndege,moja ya mashirika makubwa sana Afrika
Kwanza miradi yote mikubwa ina ufisadi mkubwa na wanufaika wa hiyo miradi ni wanaccm
 
Kwa kweli huwa najiuliza sipati majibu j.kikwete alijenga sana miundombinu lakini watu walikuwa na maisha sio magumu kama ya huyu mshua alikuwa anafanyeje?ila inaonekana mzee baba huyu anatuibia sana haiwezekani hali iwe ngumu sana namna.watu hali ni mbaya balaa.
 
Kwani jengo la chadema limekamilika.
Majengo ya CCM ni ya vyama vyote mwaka 1991 baada ya Tanzania kutangazwa ni Nchi ya mfumo wa vyama vingi ilipaswa majengo viwanja mali za CCM vigawanywe kwa vyama vyote, chadema haiwezi kujenga jengo jipya wakati inajua majengo ya CCM ni yao.
 
Miradi yote ya CCM imejaa kasoro mapungufu makubwa kuna ufisadi wa kutisha, SGR wana miezi minne hawajalipwa pesa zao, ujenzi ni wa kusuasua pesa zote amekuchua mtukufu mwenyekiti wa CCM kupeleka chato na kwenye kampeni
Daaa jamaa anatupiga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…