Kwa kweli MUNGU atende maana tunateseka sana na hiki chamaWengine waliotaka afe wametangulia wao kwanza kina nyaulingo
Naona hujui sheria za umiliki,mali ikiwa ni ya chama fulani maana yake ni kwamba chama ndicho kinachomiliki sio wanachama,mali za taasisi kama cha cha siasa haziwezi kugawanywa kwa wanachama walioamua kuondoka chamani,lakini kama chama kinavunjika kwa maana kinakuwa hakipo na wanachama wote wameridhia kivunjwe hapo ndio mali ugawanywa kwa taasisi mpya Zitakazoanzishwa na waliokuwa wanachama wa kile kilichovunjika ila si kwa watu,ivyo waliojitoa kwenye chama cha ccm hawawezi kupewa chochote kwa sababu chama hakikuvunjika ila wewe ulijitoa.Majengo ya CCM ni ya vyama vyote mwaka 1991 baada ya Tanzania kutangazwa ni Nchi ya mfumo wa vyama vingi ilipaswa majengo viwanja mali za CCM vigawanywe kwa vyama vyote, chadema haiwezi kujenga jengo jipya wakati inajua majengo ya CCM ni yao.
Awatoboi wanaogopa hasira za watz thus wanajipitisha bila kupingwa lakin haisaidii kitu,dalili za chama mfu Ni kubebwa na dolaKwa kweli MUNGU atende maana tunateseka sana na hiki chama
we unadhani walifanya yote hayo kwa kupenda? walijaribu kupigana na hawa wavamizi bt kwa kua walikua na silaha duni ndo maana mambo yaliwaendea kombo wakasalimu amri bt hii sio sababu yakutaka tuendelee kujidharau na kujidunisha.But ndizo zilizoshiriki kumuuza mwafrika kwa mzungu na mwarabu Kama mtumwa,pia ndizo zilizopromote slave trade iweje mwarabu anatoka Kongo anavuka kigoma Hadi bagamoyo na anapita kwenye vijiji na pana watu walishindwa vipi kuwauwa hao waarabu ili kuwakomoa waafrika wenzao,ubinafsi wa watawala wa kiafrica haukuanzia leo
We unadhani walifanya yote hayo kwa kupenda? walijaribu kupigana na hawa wavamizi bt kwa kua walikua na silaha duni ndo maana mambo yaliwaendea kombo wakasalimu amri bt hii sio sababu yakutaka tuendelee kujidharau na kujidunisha.But ndizo zilizoshiriki kumuuza mwafrika kwa mzungu na mwarabu Kama mtumwa,pia ndizo zilizopromote slave trade iweje mwarabu anatoka Kongo anavuka kigoma Hadi bagamoyo na anapita kwenye vijiji na pana watu walishindwa vipi kuwauwa hao waarabu ili kuwakomoa waafrika wenzao,ubinafsi wa watawala wa kiafrica haukuanzia leo
Watu Kwanza washibe, pili wawe huru, miundombinu inajengeka tu,
Watakuambia bora nizaliwe mbwa ulaya"...Wanadamu wapo wenye kashukuru, na wapo wasioshukuru.
Wapo walionufaika kwa hayo wewe unaona yasiyomana.... Ndomana nasema , Hata Mungu kwa wema wake na vyote vizuri alivyoviumba, kuna manyumbu Bado yanamuona hafai."
Kiaje, sema njia ambazo zipitiwe kuboreshwaiboreshe maisha ya wananchi wake
Umenisaidia kwa wakati muhafakaIboreshe kwa kufanya nini?
Kwa unavyoshauri ni serikali iwe inagawia watu chakula kwa hella zote za kodi sio???Watu Kwanza washibe, pili wawe huru, miundombinu inajengeka tu,
Safi sana mkuu. Waambie CHADEMA waambie.CreativityCode
Nimewiwa na shaka juu ya uimadhubuti wako wa afya ya akili kwakua ingekua umejitoa tu ufahamu na kubwata ulivyobwata ungeona aibu kwa kuelewa muunganiko kati ya miundo mbinu na uchumi, miundombinu na kuboresha maisha ya watu;
1. Unafhani yule Mfanya biashara Aliyekua anasafirisha tani moja ya mziko kwa 127,000/- toka au kwenda Mwanza - Bukoba na ikakarabatiwa meli na sasa anasafirisha tani moja kwa 27,000/- ataelewa hoja yako?
2. Yule aliyetakiwa kuunga unga na wafanya biashara wenziwe ili kukodi fuso ya kupeleka mzigo wake Dar au Moshi au Arusha na sasa hivi anapeleka mzigo wake stesheni na kuusafirisha kwa bei chee anaona treni ni kitu na sio ukombozi wa afya ya biashara yake?
3. Yule aliyewahi kupelekwa na toroli/bodaboda/baiskeli/machela zaidi ya kilometa 5 kwa ajili ya kupata uhuduma ya afya atakuelewa kwamba ile zahanati pale ni jengo na halijagusa maisha yake?
Vp wale walipokua wanakuja Muhimbili toka Kigoma kwa ajili ya MRI/ECHO na kujikita wanageuka ombaomba pale Muhimbili atakuelewa kwamba uboreshwaji wa huduma zile wilayani ni stori za vitu dhidi ya watu?
ZIPO BAKORA MUJARAB ZA KUICHAPA CCM NA MAGUFULI SIO HUU UTOTO MNAOLETA
Mfano
1. Mfumo wetu wa elimu bado una elemea kwenye nadharia na sio vitendo hivyo kuzalisha wasomi ambao ni mizigo mtaani na/au ni mfumo ambao unawabeba watu wenye uwezo wa kukariri na sio kuelewa, kuwabeba watu wenye kumbukumbu na kuwaacha wenye akili, kuwakumbatia wanaosomea mitihani na kuwaacha wenye vipaji?
2. Mpango kazi ni upi wa vijana wanaomaliza darasa la Saba na kidato cha nne na kufeli kwa kupata Daraja la nne ambao ndio kundi kubwa ukilinganisha na wanaokwenda kwenye vyuo mbali mbali vya taaluma na ujuzi?
3. Sanaa imejidhihirisha kwamba inaweza kuwa sehemu kubwa ya ajira kwa vijana wa kada zote wasomi na wasio wasomi, Serikali imeshindwa kuwapa mafunzo ya kuimarisha na kujitajirisha kupitia Sanaa zao.
Ninyi mnalipi mnalowaahidi sio kuwakusanya kwenye matamasha na kuwapatia fedha za kunywea bia na kuzinia kwa siku mbili Tatu Kisha wanarudi kwenye umasikini wa kuomba fedha za video au kuingia studio kurekodi.
Kuweni wabunifu sio kujikita kwenye kupinga kila kitu tuuuu!
Dr. Slaa
Alikua na hoja za Msingi na ndio maana wengi tulivutika na CHADEMA ni kweli nchi ilikua imetopea katika ufisadi na ilihitajika dawa mujarabu kwakua watu wengi walikua wamechoshwa na Hali ile.
Edward Lowassa
Alikua na mashiko ya kuboresha mifumo ya Elimu na akituambia kipaumbele chake Cha kwanza, pili na tatu ni elimu kwakua mfumo wa Elimu ni mbovu wengi tulimuelewa japo ndio Kura hazikutosha.
TUNDU LISSU
Anatusimulia namna alivyoyashinda mauti tuuu na kujikita katika kupinga kuliko kujenga...
Wasalaam
Ko kujenga miundombinu haisahidii maendeleo???kuweka mazingira rafiki ili kuleta maendeleo ya watu na sio vitu.
Kila kitu kina magumu yake, ndo maana enzi zile kila kukicha thamani ya pesa yetu ilikuwa inashuka, kazi na dawaKwa kweli huwa najiuliza sipati majibu j.kikwete alijenga sana miundombinu lakini watu walikuwa na maisha sio magumu kama ya huyu mshua alikuwa anafanyeje?ila inaonekana mzee baba huyu anatuibia sana haiwezekani hali iwe ngumu sana namna.watu hali ni mbaya balaa.View attachment 1553581