Mnataka tusijasili mpira, mnataka tujadili nini?

Mnataka tusijasili mpira, mnataka tujadili nini?

Tsyamatsy

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2023
Posts
265
Reaction score
421
Imekuwa ni kawaida Kwa baadhi ya watu kukosoa kila panapotokea watu wa mpira kujadili mambo ya timu zao pendwa haswa Simba na Yanga, Kwa maelezo kuwa hawana la kufanya, ebu njooni taratibu mtiririke labda wapenzi wa Simba na Yanga wanaweza kuwaelewa na kujadili suala unaloliona wewe ni muhimu kulijadili kuliko mpira.
 
Simba na Yanga vinakuletea chakula mezani? Simba na Yanga zina kutibu ukiugua? Simba na Yanga zina kupa ajira ukimaliza chuo? Simba na Yanga zina msaidia mtoto wako kupata elimu bora?

Kimsingi watu wana tamani kuona mkitumia muda mwingi kujadili mambo ambayo yatasaidia kutatua changamoto zetu za, maisha
 
Leo baada ya Miaka 60 ya Uhuru tuna maadui.
1. Ujinga na upumbavu.
2. Umasikini na ufukara.
3. Maradhi na ukichaa.

4. Mmomonyoko wa Maadili.
Ushoga usagaji, Mishangazi, uvaaji nk
5. Rushwa.
6. Ukosefu wa Ajira.

7. U Simba na U Yanga.
8. Kamari.
9. Pombe Bangi, unga, mawigi, kope,tatuu

10. Kutowajibika ujenzi haramu uvamizi wa viwanja.migogoro mingi mo, kesi , demokrasia ya vyama vingi, police na zimamoto nk nk
 
Leo baada ya Miaka 60 ya Uhuru tuna maadui.
1. Ujinga na upumbavu.
2. Umasikini na ufukara.
3. Maradhi na ukichaa.

4. Mmomonyoko wa Maadili.
Ushoga usagaji, Mishangazi, uvaaji nk
5. Rushwa.
6. Ukosefu wa Ajira.

7. U Simba na U Yanga.
8. Kamari.
9. Pombe Bangi, unga, mawigi, kope,tatuu

10. Kutowajibika ujenzi haramu uvamizi wa viwanja.migogoro mingi mo, kesi , demokrasia ya vyama vingi, police na zimamoto nk nk
12. Uchawa.
 
Simba na Yanga vinakuletea chakula mezani? Simba na Yanga zina kutibu ukiugua? Simba na Yanga zina kupa ajira ukimaliza chuo? Simba na Yanga zina msaidia mtoto wako kupata elimu bora?

Kimsingi watu wana tamani kuona mkitumia muda mwingi kujadili mambo ambayo yatasaidia kutatua changamoto zetu za, maisha
Samahani lengo la Mada hii ni TUJADILI na kupata mawazo tofauti tofauti ili nawe pia ujifinze.
Kwanza Kama utajielewa kuwa binadamu si mkamilifu basi hapa tutafika na kuelewana. Lakini samahani natoa mfano Tu, amesema Yanga na Simba vinakuletea chakula mezani? Hapo kuna watu wanakula na kuishi Kwa huo mpira, kwani wewe ni mgeni hapa duniani?? Ndio maana nasema tupanue mawazo Usitake mawazo ya peke yako Tu, jadili Kwa kufikiri Kwa upana, maana wapo wengine unayoyapenda wewe na kuyaona ya maana, mwenzio sio kipaumbele chake, nae atakupa sababu zinazomtosheleza.
 
Leo baada ya Miaka 60 ya Uhuru tuna maadui.
1. Ujinga na upumbavu.
2. Umasikini na ufukara.
3. Maradhi na ukichaa.

4. Mmomonyoko wa Maadili.
Ushoga usagaji, Mishangazi, uvaaji nk
5. Rushwa.
6. Ukosefu wa Ajira.

7. U Simba na U Yanga.
8. Kamari.
9. Pombe Bangi, unga, mawigi, kope,tatuu

10. Kutowajibika ujenzi haramu uvamizi wa viwanja.migogoro mingi mo, kesi , demokrasia ya vyama vingi, police na zimamoto nk nk
Yote haya NI kweli yanatuzunguka baada ya miaka 60 ya Uhuru, hatupingi, Labda watu wamepigana kuondoka yote hayo na wameona wameshindwa, na wakati wa vita hivyo wakaona NI Bora kujipumzisha katika mpira huku wakitafakari hiyo vita ya umasikini wataiendeleza vipi!
 
Imekuwa ni kawaida Kwa baadhi ya watu kukosoa kila panapotokea watu wa mpira kujadili mambo ya timu zao pendwa haswa Simba na Yanga, Kwa maelezo kuwa hawana la kufanya, ebu njooni taratibu mtiririke labda wapenzi wa Simba na Yanga wanaweza kuwaelewa na kujadili suala unaloliona wewe ni muhimu kulijadili kuliko mpira.
😂😂😂😂😂😂😂Wanataka mjadili.... "Hakika amefungua nchi Daktari bingwa Samia Suluhu Hassan"
 
Simba na Yanga vinakuletea chakula mezani? Simba na Yanga zina kutibu ukiugua? Simba na Yanga zina kupa ajira ukimaliza chuo? Simba na Yanga zina msaidia mtoto wako kupata elimu bora?

Kimsingi watu wana tamani kuona mkitumia muda mwingi kujadili mambo ambayo yatasaidia kutatua changamoto zetu za, maisha
Hayo tumewaachia nyie mtujadilie mkuu.
 
1000285438.jpg
 
Simba na Yanga vinakuletea chakula mezani? Simba na Yanga zina kutibu ukiugua? Simba na Yanga zina kupa ajira ukimaliza chuo? Simba na Yanga zina msaidia mtoto wako kupata elimu bora?

Kimsingi watu wana tamani kuona mkitumia muda mwingi kujadili mambo ambayo yatasaidia kutatua changamoto zetu za, maisha
Tulipata supu kupitia Simba na Yanga
1000016377.jpg
 
Back
Top Bottom