"Mnatuchukuliaje? Watumwa wenu?" Waziri mkuu wa Pakistan awachana EU kwa kuishinikiza Pakistan kuilaani Russia

"Mnatuchukuliaje? Watumwa wenu?" Waziri mkuu wa Pakistan awachana EU kwa kuishinikiza Pakistan kuilaani Russia

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amewacha viongozi wa Umoja wa Ulaya kufuatia viongozi hao kuikosoa Pakistan juu ya msimamo wake wa kukalia kimya vita ya Russia nchini Ukraine.

Pakistan imekuwa ktkshinikizo la kutakiwa kuilaani Russia kwa operesheni hiyo ya kijeshi nchini Ukraine ikizingatiwa kuwa waziri mkuu huyo alikuwepo Moscow siku ambayo operesheni hiyo ya kijeshi ilizinduliwa (siku ya kuvamiwa Ukraine).

Waziri Mkuu huyo amesema nchi za Ulaya ziachane na kuikosoa Pakistan juu ya msimamo wake wa kuwa nyutro (kutochukua upande wowote) ktk jambo hilo.

Hivi mnatuchukuliaje? Watumwa wenu? Hata tuwe twapaswa kufanya chochote mnachokizungumza? Bwana Imran Khan alizungumza kwenye kongamano la kisiasa.

Maneno hayo ya Waziri Mkuu yanafuatia barua iliyoandikwa na jumuia ya Ulaya na kupatiwa mabalozi wa jumuia hiyo kuiwasilisha ktk serikali ya Pakistan ikiitaka Pakistan kuilaani Russia. Waziri mkuu huyo akawauliza EU mbona hamjawapelekea barua kama hiyo India? Ikiwa hata India nao wameamua kutoilaani Russia kama tulivyofanya sisi (Pakistan)?

1238719916.jpeg

Pichani: Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan

===

March 7, 2022

What do you consider us? Your slaves?' Pakistani PM Khan lashes out at Europe over Ukraine stance

Pakistan’s Prime Minister Imran Khan has lashed out at EU criticism of Islamabad for its refusal to speak out against Russia's invasion of Ukraine.

Pakistan has been under growing pressure to condemn Moscow's brutal assault on Ukraine with Khan in the Russian capital when the invasion was launched.

He said that European countries should stop their criticism of Pakistan over its decision to remain 'neutral' on the matter.

"What do you consider us? Your slaves? That we should do whatever you say?" he said at a political rally.

His comments were in response to a 1 March letter by 22 Pakistan-based foreign envoys urging Islamabad to reprimand Moscow for its brutal invasion of Ukraine before a vote in the UN General Assembly (UNGA) on 2 March.

Pakistan eventually abstained from voting at the UNGA, while the overwhelming majority of countries condemned Moscow's heinous actions against its neighbour.

"I want to ask the European Union ambassadors: Did you write such a letter to India?" Imran Khan said, noting that New Delhi has also not directly condemned Moscow.

 
USA na wenzake watapoteza ushawishi sana baada ya mgogoro huu, kwan Waarabu ndo kabisa hawamuelwi toka zaman sema wanamtafutia mbadalaa wake ambaye atakuwa Russia
Uko sahihi mkuu, yaani hadi Saudia na Umoja wa Falme za kiarabu (UAE) wameamua kuwa nyutro ili kulinda mahusiano yao na Russia na pia maslahi yao na Russia

SmartSelect_20220307-225234_Chrome.jpg
 
USA na wenzake watapoteza ushawishi sana baada ya mgogoro huu, kwan Waarabu ndo kabisa hawamuelwi toka zaman sema wanamtafutia mbadalaa wake ambaye atakuwa Russia
Sio kazi rahisi ki hivyo!!Urusi au china sio leo wala kesho kuwa taifa lenye ushawishi duniani kama ilivyo USA, kutokana na kutokuwa na sifa hizi, nguvu ya kiuchumi, ki siasa na ki utamaduni.
 
Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amewacha viongozi wa Umoja wa Ulaya kufuatia viongozi hao kuikosoa Pakistan juu ya msimamo wake wa kukalia kimya vita ya Russia nchini Ukraine.

Pakistan imekuwa ktkshinikizo la kutakiwa kuilaani Russia kwa operesheni hiyo ya kijeshi nchini Ukraine ikizingatiwa kuwa waziri mkuu huyo alikuwepo Moscow siku ambayo operesheni hiyo ya kijeshi ilizinduliwa (siku ya kuvamiwa Ukraine).

Waziri Mkuu huyo amesema nchi za Ulaya ziachane na kuikosoa Pakistan juu ya msimamo wake wa kuwa nyutro (kutochukua upande wowote) ktk jambo hilo.

Hivi mnatuchukuliaje? Watumwa wenu? Hata tuwe twapaswa kufanya chochote mnachokizungumza? Bwana Imran Khan alizungumza kwenye kongamano la kisiasa.

Maneno hayo ya Waziri Mkuu yanafuatia barua iliyoandikwa na jumuia ya Ulaya na kupatiwa mabalozi wa jumuia hiyo kuiwasilisha ktk serikali ya Pakistan ikiitaka Pakistan kuilaani Russia. Waziri mkuu huyo akawauliza EU mbona hamjawapelekea barua kama hiyo India? Ikiwa hata India nao wameamua kutoilaani Russia kama tulivyofanya sisi (Pakistan)?

View attachment 2142549
Pichani: Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan

===========

March 7, 2022

What do you consider us? Your slaves?' Pakistani PM Khan lashes out at Europe over Ukraine stance

Pakistan’s Prime Minister Imran Khan has lashed out at EU criticism of Islamabad for its refusal to speak out against Russia's invasion of Ukraine.

Pakistan has been under growing pressure to condemn Moscow's brutal assault on Ukraine with Khan in the Russian capital when the invasion was launched.

He said that European countries should stop their criticism of Pakistan over its decision to remain 'neutral' on the matter.

"What do you consider us? Your slaves? That we should do whatever you say?" he said at a political rally.

His comments were in response to a 1 March letter by 22 Pakistan-based foreign envoys urging Islamabad to reprimand Moscow for its brutal invasion of Ukraine before a vote in the UN General Assembly (UNGA) on 2 March.

Pakistan eventually abstained from voting at the UNGA, while the overwhelming majority of countries condemned Moscow's heinous actions against its neighbour.

"I want to ask the European Union ambassadors: Did you write such a letter to India?" Imran Khan said, noting that New Delhi has also not directly condemned Moscow.

Hivi Pakistan ni nchi ya kutolea mfano, huyu wangemshauri apambane na makundi ya kigaidi huko nchini kwake wala siyo kumwambia mambo ya Urusi.
 
Hivi Pakistan ni nchi ya kutolea mfano, huyu wangemshauri apambane na makundi ya kigaidi huko nchini kwake wala siyo kumwambia mambo ya Urusi.
Huijui Pakistan wewe, bora ukalale...

Hao NATO wenyewe wameona kuna umuhimu wa hiyo Pakistan kuzungumzia jambo hilo. Wamepoteza muda wao kuandika barua na kutuma mabalozi wa NATO kuipeleka barua hiyo Pakistan.

Kwani umeona barua kama hiyo mmetumiwa Tanzania?!

Pakistani ipo kwenye top ten (nafasi ya 9 kati ya nchi 140 Duniani) kwa nguvu za kijeshi kwa mujibu wa utafiti wa Global Fire Power. Wakati Tanzania ikishika nafasi ya 113.

SmartSelect_20220308-073407_Chrome.jpg

SmartSelect_20220308-073439_Chrome.jpg
 
Hivi Pakistan ni nchi ya kutolea mfano, huyu wangemshauri apambane na makundi ya kigaidi huko nchini kwake wala siyo kumwambia mambo ya Urusi.
mpaka wamemshauri kwanini hawajaishauri nji yako[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huijui Pakistan wewe, bora ukalale...

Hao NATO wenyewe wameona kuna umuhimu wa hiyo Pakistan kuzungumzia jambo hilo. Wamepoteza muda wao kuandika barua na kutuma mabalozi wa NATO kuipeleka barua hiyo Pakistan.

Kwani umeona barua kama hiyo mmetumiwa Tanzania?!

Pakistani ipo kwenye top ten (nafasi ya 9 kati ya nchi 140 Duniani) kwa nguvu za kijeshi kwa mujibu wa utafiti wa Global Fire Power. Wakati Tanzania ikishika nafasi ya 113.

View attachment 2142916
View attachment 2142917
Sure, kutokana na kuzungukwa na makundi ya kiarakati, Pakstan ni moja kati ya nchi zenye intelijensia ya hali ya juu
 
Huijui Pakistan wewe, bora ukalale...

Hao NATO wenyewe wameona kuna umuhimu wa hiyo Pakistan kuzungumzia jambo hilo. Wamepoteza muda wao kuandika barua na kutuma mabalozi wa NATO kuipeleka barua hiyo Pakistan.

Kwani umeona barua kama hiyo mmetumiwa Tanzania?!

Pakistani ipo kwenye top ten (nafasi ya 9 kati ya nchi 140 Duniani) kwa nguvu za kijeshi kwa mujibu wa utafiti wa Global Fire Power. Wakati Tanzania ikishika nafasi ya 113.

View attachment 2142916
View attachment 2142917
Mshkaji akiwaona wamevaa Kubazi na Vikanzu vyao anajua levo yetu,Mpakistani kimpango wake anajielewa.
 
Hivi Pakistan ni nchi ya kutolea mfano, huyu wangemshauri apambane na makundi ya kigaidi huko nchini kwake wala siyo kumwambia mambo ya Urusi.
Hivi kwanini waafrika weusi wanadhani wapo level moja na waarabu?
Waarabu wako mbali sana kucompare na waafrika.

huo ndio ukweli mchungu na ukubali tu kwamba mwafrika bado yuko chini sana solution ni kuacha kuvuta wengine shimoni bali ni kunyanyuka.
Na hii ndio maana ni ngumu kwa afrika kuendelea kwa akili fupi kama hizi sababu anataka wengine wawe kama yeye na hakubali ukweli kuwa yuko alone.

Ukweli ni kwamba uko level ya chini sana mkuu kwenye kila kitu ukijilinganisha na hao arabs kwenye Uchumi, Technology, Elimu na Maendeleo ya nchi kiujumla.
And let me guess wewe lazima utakuwa mkristo maana wengi ndio mna mindsets kama hizi.

Tell me I'm wrong.
 
Hivi Pakistan ni nchi ya kutolea mfano, huyu wangemshauri apambane na makundi ya kigaidi huko nchini kwake wala siyo kumwambia mambo ya Urusi.

Hivi unajua umuhimu wa nchi kama Pakistan Geopolitically katika Dunia ya sasa?

Comment yako imeonyesha "hujui chochote", yaani upo upo tu..

Je, unajua kwa nini Pakistan ni "Mboni ya jicho" ya taifa la China? Yaani ukimzingua Pakistan ujue China lazima aingilie? Bila shaka hujui lolote kuhusu hili?

Sometime ni bora kuficha ujinga wako kuliko kujidhalilisha hadharani.
 
Hivi unajua umuhimu wa nchi kama Pakistan Geopolitically katika Dunia ya sasa.

Comment yako imeonyesha "hujui chochote", yaani upo upo tu..

Je, unajua kwa nini Pakistan ni "Mboni ya jicho" ya taifa la China? Yaani ukimzingua Pakistan ujue China lazima aingilie? Bila shaka hujui lolote kuhusu hili?

Sometime ni bora kuficha ujinga wako kuliko kujidhalilisha hadharani.
Inatosha Sasa mwacheni akapumzike kidogo
 
hali ni mbaya kwa mbwa mkubwa (U.S.A) na vitoto vyake...
Intl. women's day is about equal rights. Thousands of women with dependents in Ukr. cities besieged by Russians are unable to get water, food, treat their wounded & bury their dead. Every day of the West's inaction or delay means the prolonging of their suffering. #StopPutin
 
Huijui Pakistan wewe, bora ukalale...

Hao NATO wenyewe wameona kuna umuhimu wa hiyo Pakistan kuzungumzia jambo hilo. Wamepoteza muda wao kuandika barua na kutuma mabalozi wa NATO kuipeleka barua hiyo Pakistan.

Kwani umeona barua kama hiyo mmetumiwa Tanzania?!

Pakistani ipo kwenye top ten (nafasi ya 9 kati ya nchi 140 Duniani) kwa nguvu za kijeshi kwa mujibu wa utafiti wa Global Fire Power. Wakati Tanzania ikishika nafasi ya 113.

View attachment 2142916
View attachment 2142917
"Синьо-жовтий птах летить високо над Чорним морем!" - 2008 я перекладав слова Пола Маккартні для телетрансляції його концерту на Майдані Незалежності в Києві. Щоправда, МАККА більше співав, ніж говорив. Та ще й чимало говорив українською) Слухайте, думайте Урок української від Пола Маккартні. ЧАС БУТИ РАЗОМ
 
Back
Top Bottom