"Mnatuchukuliaje? Watumwa wenu?" Waziri mkuu wa Pakistan awachana EU kwa kuishinikiza Pakistan kuilaani Russia

Sawa kabisa, hiyo 2008 Pakistani ndio alipokea teknolojia ya nuclear kutoka kwa mbabe Putin.
 
naunga mkono hoja[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Uko sahihi mkuu,hata mimi nilitaka kusema hivyo,hawa jamaa ni jau sana.
 
Kwa asilimia kadhaa sioni umuhimu wa africa kujihusisha na upuuzi. kimsingi nato ni muungano wa kijeshi wa jumuiya ya ulaya mangharibi putin amewahi kusema nato ni muungano wa falsafa za kizamani na hajui kwa nini bado ipo kuwa karibu na nato ni kuwa karibu na kikosi kikubwa cha mauaji uvamizi na machafuko ni halali kwa putin kuwasogeza mbali na nchi yake maovu waliyoyafanya libya , yanayoendelea congo , ethiopia na pengi duniani ni uhaini wa hii nato .
Nato ni wasababishaji wa vurugu na solver kwa kutumia un ushauri wangu africa haina haja ya kutazama mangharibi au mashariki kwa makomunisti suluhisho ni moja tu lile la gadaffi africa kuungana kama nchi moja basi hakuna nguvu kwa kutengana ila kuungana basi lakini kwa kuwa tuna viongozi wabinafsi sana jambo hilo haliwezekani kwa makubaliano ila nguvu na kwa sababu tunapenda mno amani tutasalia hivi

Udumu muungano thabiti wa pan africanism yadumu mawazo ya nkurumah yadumu maono ya muammar .
 
Hao Pakistan wake makomandoo waliingia nchini mwao, wakamuua Osama na kuondoka naye, huku wao wamelala usingizi wala wasijue what happened [emoji23][emoji23][emoji23]
Usichanganye Afghanistan na Pakistan
 
Najiuliza hivi hayati Robert Mugabe angekuwa hai alafu apate nafasi ya kuhutubia UN kuhusu huu mgogoro! Sijui angemnenea Russia maneno yapi ya kumpongeza! 😅😂
 
Natizama habari mda huu UTV, Evona Kamutu amuhoji mmoja wa watanzania anayeishi Alabama, anadai bei ya mafuta Marekani imepanda karibia mara mbili.
 
We ni mpumbavu kwelikweli

How do you relate some ones stupidity na dini yake.

Yani ukristo unamfanyaje mtuawe mjinga kutotambua kwamba pakistan ni moja kati most powerful military duniani.

Ingawa hio list yako ni useless na haina ukweli wowote

Yani kwaajili zako pakistan amezidi uturuki kijeshi ?? Au Brazil imeizidi uturuki kijeshi??
 
Does it matter snowflake?
 
I'm asking you, does it matter little emotional snowflake?
Do you think I care?
 
I also dont care!!! idiot

Sometimes ficha tu ur stupidity.

Zero brain!!!
Right, first come down and grab a glass of water then take a heavy breath.
Then ask yourself: what is wrong with me and why am I so stupid today?
After that allow me to show you why.

So I'm gonna ask you.
If you don't care then why you quoted and insult me antecedently?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…