Mnatumia mbinu gani Kwenye hii hali

Mnatumia mbinu gani Kwenye hii hali

Mtukutu Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2022
Posts
1,117
Reaction score
1,403
Habari ya muda wazee Kuna mshikaji kankomba ushauri nimekosa jibu la kumpa
Yeye anamke wake ila Mimba iliharibika baada ya muda Kidogo mke jamaa akataka show wakati wa tendo jamaa aliniambia uke ni mgumu hivyo anashidwa Kabisa kupitisha uume nilitaka nimshauri atumie vilainishi(ila Sina uzoefu na vilainishi) ila Nimeona Nije hap jukwaani Tupate majibu Kwa wazoefu

Je anaweza njia gani kukalibiana na hii Hali
 
Atumie vilaini kama KY Gel.

Vilainishi ni salama.
 
Habari ya muda wazee Kuna mshikaji kankomba ushauri nimekosa jibu la kumpa
Yeye anamke wake ila Mimba iliharibika baada ya muda Kidogo mke jamaa akataka show wakati wa tendo jamaa aliniambia uke ni mgumu hivyo anashidwa Kabisa kupitisha uume nilitaka nimshauri atumie vilainishi(ila Sina uzoefu na vilainishi) ila Nimeona Nije hap jukwaani Tupate majibu Kwa wazoefu

Je anaweza njia gani kukalibiana na hii Hali
Ailambe hiyo mbususu vilivyo, mbona itaachia lango.
 
Hatua ya kwanza ya asili imetumika? Mwamba hajawahi kuwa Chaputa?
 
Back
Top Bottom