Mnatumia njia gani kupata visa ya USA na CANADA?

Mnatumia njia gani kupata visa ya USA na CANADA?

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Maana sielew, nimeomba zaidi ya mara mbili kwanzia mwaka Jana, nchi ya kanada na marekani kwa wakati tofauti kotee nakuwa unsuccessful

Ndugu zangu mnafanyaje kupata wenzetu maana Kila kigezo ninacho mpaka bank statement yangu imenyooka vzr tu Ila linaenda lofa la kigoma porini huko linapata visa hata kujieleza tu halijui.. US embassy tendeni haki marekani sio Mbinguni msitubabaishe apa

Nimejaribu pia UK na Australia nako Hola naona Sasa nitumie njia za panya tu,, yani hata Mina Ally nae walimyima visa ya USA 🤣🤣🤣.. Hawa watu kama hawatutaki watoke nchini kwetu wapeleke ubalozi sehemu zingine bhnaa maana naona tuna mahusiano ya kinafiki tu

Wazoefu tunaomba majibu Asante.
 
Maana sielew, nimeomba zaidi ya mara mbili kwanzia mwaka Jana, nchi ya kanada na marekani kwa wakati tofauti kotee nakuwa unsuccessful

Ndugu zangu mnafanyaje kupata wenzetu maana Kila kigezo ninacho mpaka bank statement yangu imenyooka vzr tu Ila linaenda lofa la kigoma porini huko linapata visa hata kujieleza tu halijui.. US embassy tendeni haki marekani sio Mbinguni msitubabaishe apa

Nimejaribu pia UK na Australia nako Hola naona Sasa nitumie njia za panya tu,, yani hata Mina Ally nae walimyima visa ya USA 🤣🤣🤣.. Hawa watu kama hawatutaki watoke nchini kwetu wapeleke ubalozi sehemu zingine bhnaa maana naona tuna mahusiano ya kinafiki tu

Wazoefu tunaomba majibu Asante.
marekani umeomba visa ya aina gani?
 
Back
Top Bottom