Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Anza process, lakini usirudi hapa kulalamikaNaibiwaje Kati inabidi nitoe pesa visa ikitoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza process, lakini usirudi hapa kulalamikaNaibiwaje Kati inabidi nitoe pesa visa ikitoka
Mkuu unajielewa kweliSasa kama hapa Tz na elimu yako uliyonayo umeshindwa kupata kazi ya maana,huko Canada utapata kazi gani na elimu hii ya Tz ????
Maana sielew, nimeomba zaidi ya mara mbili kwanzia mwaka Jana, nchi ya kanada na marekani kwa wakati tofauti kotee nakuwa unsuccessful
Ndugu zangu mnafanyaje kupata wenzetu maana Kila kigezo ninacho mpaka bank statement yangu imenyooka vzr tu Ila linaenda lofa la kigoma porini huko linapata visa hata kujieleza tu halijui.. US embassy tendeni haki marekani sio Mbinguni msitubabaishe apa
Nimejaribu pia UK na Australia nako Hola naona Sasa nitumie njia za panya tu,, yani hata Mina Ally nae walimyima visa ya USA 🤣🤣🤣.. Hawa watu kama hawatutaki watoke nchini kwetu wapeleke ubalozi sehemu zingine bhnaa maana naona tuna mahusiano ya kinafiki tu
Wazoefu tunaomba majibu Asante.
Watuu mmevurugwaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3083795
Jiweke kama hivyo halafu nenda ubalozini useme unataka kuuliwa.
Ila ukubali test. Kuna mizee itataka kujaribu kama yaliyomo yamo.
View attachment 3083798
Ila haitokuwa ngumu kwako maana ulishawahi leta uzi wa kutamani kuwa mwanamke.
Kila la heri teacher mstaafu.
Labda u.t.i suguHivi jeuri ya kukimbia Tz mnaitoa wapi? Palivo patamu hivi
Acha kula cheap women, kua na kinyaa sio lazima kila sehemu unachovya UTI sugu iwe ajali tuLabda u.t.i sugu
Mpwaaaa walimu Hawajui chochote makapuku tu 😂😂😂Walimuu mkujee mumpe msaada Rafiki yenu, yeye amekwamaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hhhhhahahah staki mm hata ukisema manda na ilangali au mondomera I don't wantnjoo tuvune mtama huku huzi, unataka utorokee wapi mkuu