Mnatumia njia gani kupata visa ya USA na CANADA?


Jiweke kama hivyo halafu nenda ubalozini useme unataka kuuliwa.

Ila ukubali test. Kuna mizee itataka kujaribu kama yaliyomo yamo.


Ila haitokuwa ngumu kwako maana ulishawahi leta uzi wa kutamani kuwa mwanamke na viashiria tayari unavyoπŸ‘‡





Kila la heri teacher mstaafu.
 
Walimuu mkujee mumpe msaada Rafiki yenu, yeye amekwamaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Balozi wa USA ni member wa JF itakuwa anasoma nyuzi zako unavyowashambulia waalimu akaona ukienda America utasumbua waalimu wa kule.
 
Walimuu mkujee mumpe msaada Rafiki yenu, yeye amekwamaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpwaaaa walimu Hawajui chochote makapuku tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Watu wengi wanakataliwa kwa sababu hawaonyeshi ties (documents) za kutosha kuonesha kwamba anarudi nchini, ana familia na kazi au biashara ambayo itamfanya arudi Tanzania.

Wakiangalia application zenu nyingi zinaonesha mnaenda kuzamia, hazijakamilika
 
Kila kitu unacho (Vigezo), bank statement, unajua kujieleza, umesoma (May be)... lakini unakataliwa!!? Jiangalie kuna kosa umelifanya la kuwadharau hao watu pori wa Kigoma ambao umesema hawajui kujieleza na Mungu anakuadhibu pasipo wewe kujua ... TAFUTA PASTOR ILI UTUBU HII DHAMBI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…