[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wengine wanapaka majivu
mbonahukatiihizokucha πββοΈπββοΈUnakata hadi machungwaView attachment 2294493
ππππ€£π€£π€£π π ππππππππππππKuna wanaofuga.. hizo brand za nyembe hawazijui
NinjaNina Uhakika Tanzania nzima hakuna mtu asiyetumia Nyembe kwa kazi tofauti tofauti mi Naulizia hasa kwa matumizi ya Kunyolea nywele zote zilizopo katika Mwili wa Mwanaadamu,Ni Zipi Nyembe bora maana siku Hizi Kampuni nyingi huku Uswahilini Kuna DORO lakini naona kama sizielewi siku hizi.
Hii ya majivu ni nzuri ila ni 'uache kazi ufanye kazi'Wengine wanapaka majivu