Mnatumia nyembe gani?

Mnatumia nyembe gani?

Ndugu vp ... Upele unasumbua nn ?
Wapo wadau humu wanapiga guitar siku2 baada ya kunyoa 😂
 
Ukimaliza siliba na kipande cha limao kaa nusu saa piga maji moto.Asante.Nimesahu paka pia na mafuta ya nazi ( Parachute).
 
Nina Uhakika Tanzania nzima hakuna mtu asiyetumia Nyembe kwa kazi tofauti tofauti mi Naulizia hasa kwa matumizi ya Kunyolea nywele zote zilizopo katika Mwili wa Mwanaadamu,Ni Zipi Nyembe bora maana siku Hizi Kampuni nyingi huku Uswahilini Kuna DORO lakini naona kama sizielewi siku hizi.
Wembe ni ule ule wa ushindi ... in Kapteni Komba voice(RIP)

Wana CCM waje hapa waseme wembe wao ni upi wanaoutumia
 
Tatizo bongo zikiletwa nyembe kali zikateka soko jua hazitodumu maana zitajazwa feki zake na kuziharibia soko.
Mfano Topaz OG zilikuwa balaa baadaye zikaja fekelo hadi zimeondoka sokoni.
Hata hizi Rungu max zinafungashwa na kampuni zaidi ya moja na feki ndio zimetamalaki.
All in all kiwembe kilikuwa Nacet then kikafuata Perma Sharp
KweLi rungu max kipind znaingia zilikua zinakata balaa lakn sku hzi ukijinyia unaumia kichz halafu nyembe ndo kwanza mpYa
 
Kuna siku nikawa najinyoa yaani utafikiri nanyofoa nywele kwa maumivu nilopata.
 
Kucha natumia DORCO ila kunyoa natumia mashine, mwaka 2010 nilikuta mashine za kunyolea pale mlimani city duka la game wameziweka kwenye mkapu mkubwa wanauza elfu10 tu ilikuwa punguzo baab kuuubwa nikachukua 5 huwezi amini hadi leo mashine mbili sijazigusa na moja niligawa.
... hii DORCO ilikuwa baada ya DONCO, Sijui vilipotelea wapi hivi viwembe vya DONCO Super Chrome, Vilikuwa viwembe vikali sana vina rangi inaenda kwenye weusi ukivikunja kidogo tu vinavunjika sio kama haya mabati ya siku hizi.
 
Kucha natumia DORCO ila kunyoa natumia mashine, mwaka 2010 nilikuta mashine za kunyolea pale mlimani city duka la game wameziweka kwenye mkapu mkubwa wanauza elfu10 tu ilikuwa punguzo baab kuuubwa nikachukua 5 huwezi amini hadi leo mashine mbili sijazigusa na moja niligawa.
Tuone picha mkuu
 
Back
Top Bottom