Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
Sawa ngoja nijipandishe thamaniSasa mbona wajishusha thamani kujiita bibi kokoo.. wakati kuna Mabibi wanalipa acha tu
Unaona sasa. Hii ID hii, ndio nyinyi mnatuchanganya jamani. Wewe umejiunga November halafu tayari unajua kucheka namna hii, huu si utani huu??? Mnatutaftia sababu tu jamani. Tuje PM yawe mengineπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Unaona sasa. Hii ID hii, ndio nyinyi mnatuchanganya jamani. Wewe umejiunga November halafu tayari unajua kucheka namna hii, huu si utani huu??? Mnatutaftia sababu tu jamani. Tuje PM yawe mengine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu jaribu kuingia huko pm utupe mrejesho!!
Kwa kweli hata mimi napata wakati mgumu sana hasa kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara!! Kuna wakati kabisaa naona huu mwandiko mbona kama wa babe wangu jamaani!!! Ila ID sio yake!!
π Mimi mpya jamani..Unaona sasa. Hii ID hii, ndio nyinyi mnatuchanganya jamani. Wewe umejiunga November halafu tayari unajua kucheka namna hii, huu si utani huu??? Mnatutaftia sababu tu jamani. Tuje PM yawe mengineπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
I am telling you!!!!
Unaona sasa. Hii ID hii, ndio nyinyi mnatuchanganya jamani. Wewe umejiunga November halafu tayari unajua kucheka namna hii, huu si utani huu??? Mnatutaftia sababu tu jamani. Tuje PM yawe mengineπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
I am telling you!!!!
Believe me Aurora mnavyofanya sivyoooo[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mambo Dina?? With confidence nakusalimia maana najua huyu Dina, na sijawahi mtokea kwa hiyo kama nkitaka kuzama piyemu nazama tuππππππ
πππππHebu jaribu kuingia huko pm utupe mrejesho!!
Kwa kweli hata mimi napata wakati mgumu sana hasa kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara!! Kuna wakati kabisaa naona huu mwandiko mbona kama wa babe wangu jamaani!!! Ila ID sio yake!!
Hahahahahaahahahπ Mimi mpya jamani..
Kwani huko PM ndio wapi?
HahahahahaahahahahhaahhaKama nawaona wanaume mnavyochanganykiwa na kubet [emoji23]π€£π€£π€£
Sent using Jamii Forums mobile app
Muje na ID zenu zile zileSo wat do u suggest tufanyaje ili kuondoa hili tatizo ? [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba unaweza kumpiga sound mtu mmoja mara mbiliπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Ndio muache ubazazi sasaKwamba unaweza kumpiga sound mtu mmoja mara mbili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]