Mnatupa wakati mgumu saana.

Hahaha! Daby bwana...Usichanganye mafile mie ni huyu huyu Pyaar mwenye ID hii hii. Sio wa zamani wala mpya.[emoji38] Uzi wako haunihusu kabisa.
Hapana nimekufananisha na mtu nje ya JF...ingekuwa wewe ndiye yeye angeweza kutambua L.K ni initial ya jina lake.

Nimeanza kuona Id yako siku kidogo...anatumia hili jina kila mahali.
 
Hapana nimekufananisha na mtu nje ya JF...ingekuwa wewe ndiye yeye angeweza kutambua L.K ni initial ya jina lake.

Nimeanza kuona Id yako siku kidogo...anatumia hili jina kila mahali.
Nimekupata mkuu.
 
kwani unachohofia kwa wakongwe ni nini kuprotect reputation au umekwisha wafyonza wote?
Utajiskiaje ukigundua umerudia kuswakia mswaki uliodondoka chooni kwa bahati mbaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…