Mnatupa wakati mgumu saana.

Mkuu unakwama wapi? Na ww njoo na ID yako mpya then nenda kazame PM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahaaaaaa...! What do u mean mkuu Daby ?. Kwamba wale wa zamani umewapitia sana?. Sasa umewacheck wapya wako damsh kinoma unataka kuwatokea,lakini unaogopa usije ukawatokea tena yule yule mara ya pili?.
Feruz:- Nilishamsahau kama nimekutana nae kimwili. Nikamtongoza tena,tena kwa mara ya pili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana mkuu...mbona unataka kunigombanisha na warembo.

Mie swali langu hawa ni wapya au ni wale wale wa zamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…