Chaji simu haraka.
Hongera kwa kutumia kiswahili google..inaonyesha unaumahiri mkubwa kwenye lugha.
Thanks.
Mkuu unakwama wapi? Na ww njoo na ID yako mpya then nenda kazame PM.Hivi wakuu nyie mnapata wakati mgumu kama ninaoupata mimi? Hizi IDs za kuanzia 2017 hadi leo 2019 zenye vipost chini ya buku na hazijawahi kuanzisha uzi mnaendaje nazo sambamba nyie?
Halafu zote zina miandiko mizuri mizuri viavatar vizuri na viemoj vizuri vizuri.
Hata ukisema ujaribu kutongoza unajisemea usikute ni fulani yule kaja kwa sura mpya.
swali langu nyie ni wapya au wale wale? Mliobahatika kuingia vyumbani vipi ni wale wale au hawa wapya!
Mkuu muda mwingine sio mbaya kuwa gentleman hata kwa kufakeUnajibu ki-gentleman zaid eeh.
Wangu hauwezi kuwa mzuri hivyo jamani!Kweli ni mzuri?
Mbona naona umefanana na wa kwako?
SawaNaomba uache kuwa unafanya hivyo pls.
Pole sana hamia tecno.. hakuna strss hukuMkwe basi simu yangu inaninyima mengi.
HahahahahaWatu na babe zao.
🙏🙏🙏My pleasure.
Mbona wagunda Auli'i
Mbona wagunda Auli'i
Ahahaaaaaa...! What do u mean mkuu Daby ?. Kwamba wale wa zamani umewapitia sana?. Sasa umewacheck wapya wako damsh kinoma unataka kuwatokea,lakini unaogopa usije ukawatokea tena yule yule mara ya pili?.Hivi wakuu nyie mnapata wakati mgumu kama ninaoupata mimi? Hizi IDs za kuanzia 2017 hadi leo 2019 zenye vipost chini ya buku na hazijawahi kuanzisha uzi mnaendaje nazo sambamba nyie?
Halafu zote zina miandiko mizuri mizuri viavatar vizuri na viemoj vizuri vizuri.
Hata ukisema ujaribu kutongoza unajisemea usikute ni fulani yule kaja kwa sura mpya.
swali langu nyie ni wapya au wale wale? Mliobahatika kuingia vyumbani vipi ni wale wale au hawa wapya!
Ila keyboard si zinapakulika afu unapakua na fonts unazotaka. Labda kama simu haisapoti
Ila keyboard si zinapakulika afu unapakua na fonts unazotaka. Labda kama simu haisapoti
Hahahaa.. ngoja basi nibadiri kibodi asee..Nimemaanisha inategemea anatokea kwenye simu gani kuja kwenye tecno
Nimemaanisha unachapia sana badala ya kuandika "waguna" umeandika "wagunda"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu...mbona unataka kunigombanisha na warembo.Ahahaaaaaa...! What do u mean mkuu Daby ?. Kwamba wale wa zamani umewapitia sana?. Sasa umewacheck wapya wako damsh kinoma unataka kuwatokea,lakini unaogopa usije ukawatokea tena yule yule mara ya pili?.
Feruz:- Nilishamsahau kama nimekutana nae kimwili. Nikamtongoza tena,tena kwa mara ya pili
Sent using Jamii Forums mobile app