jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,901
Mwenye kujua kazi ya hivi vinyaji afunguke hapa,
Kwa uelewa wangu ni vinatumika kuongeza nguvu za mwili na kufanya ujisikie fiti muda wote.Nazungumzia shark na redbull ,ila kwa zanzi najua inaongeza nyeg£ kwa kina dada.
Upande wa pili vinaongeza safari ya kwichikwichi.
Kwa upande wako wewe ni vp?
Kwa uelewa wangu ni vinatumika kuongeza nguvu za mwili na kufanya ujisikie fiti muda wote.Nazungumzia shark na redbull ,ila kwa zanzi najua inaongeza nyeg£ kwa kina dada.
Upande wa pili vinaongeza safari ya kwichikwichi.
Kwa upande wako wewe ni vp?