Mnawachukuliaje wasichana walioweka bleach kichwani?

Mnawachukuliaje wasichana walioweka bleach kichwani?

Nina purpo kichwani nimenyoa style kidgo najiheshimu /naheshimika siyo muhuni


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Generalization at its best. Fashion tu mkuu
Hatukatai ni fashion, lakini hiyo fashion imependwa sana na watu wa dizaini fulani hapa nchini,kuanzia hapo inachukua sura nyingine na kuwa kiashiri cha "pesa yako tu/ukinishawishi nakupa"
Hata hawa wa humu wenye rangi wakiwa wawazi lazima watatoa evidence za one night stand,kuchepuka au kuliwa bahati mbaya baada ya kulewa.
 
Bleach zenyewe hazijaanza leo, zipo longtime tu tangu enzi wakina Bozi Boziana wanakimbiza nchi hii.Tatizo ni waliokuja kuipenda hii trend wengi ni wanawake fulani hivi "wapenda mengi" na "wauzaji".So hata kama ni officer mheshimiwa lazima loyalty yake inayumba, anaweza toa akishawishiwa.
Ni kama wanaume wapenda makalio makubwa wengi wanapenda "supu ya utumbo" japo sio wote,hata humu ukiuliza mtu atakwambia hapana mi nayapenda tu for "view" lakini tunajuana kinachoendelea😃😃😃😃
 
Generalization at its best. Fashion tu mkuu
Hatukatai ni fashion, lakini hiyo fashion imependwa sana na watu wa dizaini fulani hapa nchini,kuanzia hapo inachukua sura nyingine na kuwa kiashiri cha "pesa yako tu/ukinishawishi nakupa"
Hata hawa wa humu wenye rangi wakiwa wawazi lazima watatoa evidence za one night stand,kuchepuka au kuliwa bahati mbaya baada ya kulewa.
 
Hatukatai ni fashion, lakini hiyo fashion imependwa sana na watu wa dizaini fulani hapa nchini,kuanzia hapo inachukua sura nyingine na kuwa kiashiri cha "pesa yako tu/ukinishawishi nakupa"
Hata hawa wa humu wenye rangi wakiwa wawazi lazima watatoa evidence za one night stand,kuchepuka au kuliwa bahati mbaya baada ya kulewa.

Sidhani kama ni kweli, mimi niweka blich tena nimemix na purple ila sina hizo tabia ulizo zitaja sijawahi kunywa pombe hata kwa bahati mbaya, club sipajui na sijawahi kuliwa bahati mbaya. na nimeweka km fashion nyingine baada ya kuchoka kusuka nikaamua kubadili muonekano nikanyoa na kuweka rangi.

Msitujudge kihivyo jamani looh[emoji22]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama ni kweli, mimi niweka blich tena nimemix na purple ila sina hizo tabia ulizo zitaja sijawahi kunywa pombe hata kwa bahati mbaya, club sipajui na sijawahi kuliwa bahati mbaya. na nimeweka km fashion nyingine baada ya kuchoka kusuka nikaamua kubadili muonekano nikanyoa na kuweka rangi.

Msitujudge kihivyo jamani looh[emoji22]


Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma haraka sister, sijasema wote wenye bleach mko hivyo, ila hiyo fashion imependwa sana na wanawake fulani. Kwa mfano nikiuliza bleach inawekwa zaidi na kundi gani kati ya wanawake waliopinda na wastaarabu,unaona kundi lipi linaweka zaidi?
Ni kama bangi inatumiwa zaidi na wastaarabu au watu wa hovyo Tanzania?Utakuta wa hovyo ni wengi kuliko wastaarabu.
 
Umesoma haraka sister, sijasema wote wenye bleach mko hivyo, ila hiyo fashion imependwa sana na wanawake fulani. Kwa mfano nikiuliza bleach inawekwa zaidi na kundi gani kati ya wanawake waliopinda na wastaarabu,unaona kundi lipi linaweka zaidi?
Ni kama bangi inatumiwa zaidi na wastaarabu au watu wa hovyo Tanzania?Utakuta wa hovyo ni wengi kuliko wastaarabu.

kwa upande wangu mimi wastaarabu tusio na mambo mengi ndo tunaweka bleach, kwahiyo mtu akisema wengi ni waliopinda lazima ntakataa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzangu hua mnawaonaje wasichachana/wanawake walioshevu labda kiduku/kisahani/Afro halafu wakaweka bleach kichwani?

Mimi nikiona mwanamke kaweka hivyo nina hakika huyo mtu hajitambui na hajakua, bado anatafuta identity ya maisha. Kiufupi hua naona ni mwanamke malaya (Sorry) maana mtu anayejiheshimu hawezi weka bleach.

Mwanamke aliyeweka rangi kichwani akae mita 500 kutoka usawa wa bahari (sehemu nilipo). Siwezi date na mtu wa namna hiyo!

Nyie mwawachukuliaje?
Heee hili vip? Hivi wanaume huwa mnajionaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzangu hua mnawaonaje wasichachana/wanawake walioshevu labda kiduku/kisahani/Afro halafu wakaweka bleach kichwani?

Mimi nikiona mwanamke kaweka hivyo nina hakika huyo mtu hajitambui na hajakua, bado anatafuta identity ya maisha. Kiufupi hua naona ni mwanamke malaya (Sorry) maana mtu anayejiheshimu hawezi weka bleach.

Mwanamke aliyeweka rangi kichwani akae mita 500 kutoka usawa wa bahari (sehemu nilipo). Siwezi date na mtu wa namna hiyo!

Nyie mwawachukuliaje?
wengi wanaliwa tigo
 
Kukataa kuwa wanaoweka bleach hawajapinda ni dalili kuwa wewe nawe umepinda.

inawezekana.... kwahiyo na wale walioweka maybe kwa kupenda hizo style kutoka kwa viongozi wa Kiroho (ama tuite wachungaji) like mama yake Rev lucy natasha pastor wanjiru ana purple kichwani si mtukutu, prophetess bebe angel (mke wa uebert angel ) ana bleach, mary bushiri ana bleach, prophetess Trizzah ana bleach na wengine wengi wana bleach wana purple lakini ni watulivu mnoo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom