Mnawachukuliaje wasichana walioweka bleach kichwani?

Mnawachukuliaje wasichana walioweka bleach kichwani?

Wenzangu hua mnawaonaje wasichachana/wanawake walioshevu labda kiduku/kisahani/Afro halafu wakaweka bleach kichwani?

Mimi nikiona mwanamke kaweka hivyo nina hakika huyo mtu hajitambui na hajakua, bado anatafuta identity ya maisha. Kiufupi hua naona ni mwanamke malaya (Sorry) maana mtu anayejiheshimu hawezi weka bleach.
Mwanamke aliyeweka rangi kichwani akae mita 500 kutoka usawa wa bahari (sehemu nilipo). Siwezi date na mtu wa namna hiyo!

Nyie mwawachukuliaje?
Akikupa papuchi usiache kutumia Condom
 
Wenzangu hua mnawaonaje wasichachana/wanawake walioshevu labda kiduku/kisahani/Afro halafu wakaweka bleach kichwani?

Mimi nikiona mwanamke kaweka hivyo nina hakika huyo mtu hajitambui na hajakua, bado anatafuta identity ya maisha. Kiufupi hua naona ni mwanamke malaya (Sorry) maana mtu anayejiheshimu hawezi weka bleach.
Mwanamke aliyeweka rangi kichwani akae mita 500 kutoka usawa wa bahari (sehemu nilipo). Siwezi date na mtu wa namna hiyo!

Nyie mwawachukuliaje?
Mm nawaonaga wadangaji tu..huwa siwakubaligi Kabisa yan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo makitu hayajawahi kunibariki hata kwa kuangalia tu. Fortunately hata kwenye familia yetu hakuna mwanamke anaetumia hiyo kitu. Ningekuwa nayaiba natia moto.
Ngoja ile siku tukienda Morombo nitakavyo vaa wigi. Utachagua kuvumilia au kunikimbia
 
Mi nawafyeka sana hao,nikikuona hivyo tu,napatana bei,hao ni HOOKERS wa kistaili.
Wengine wake za watu,na waume wanawaachia tu,wanadanganywa ni staili,mi nawanyoosheeni tu.STPD.
 
Back
Top Bottom