udai caresma
Senior Member
- Mar 18, 2018
- 142
- 365
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakukalie mbali kwani walikufata?
Walikutongoza? Maisha yakiwa magumu kwako unalazimisha yawe magumu na kwa wengine!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakukalie mbali kwani walikufata?
Walikutongoza? Maisha yakiwa magumu kwako unalazimisha yawe magumu na kwa wengine!!
Hadi sisi wa low cut?!!Mkuu una mtazamo kama wangu, hao wapaka breach na wanaonyoa low cut karibia na upara. Nawaogopa kabisa.
😀😀😀😀
Mie ndio naenda kuweka ya sikukuu 'EasterNimeweka purple kichwani ni manjonjo tu mimi si muuza papa
Wenzangu hua mnawaonaje wasichachana/wanawake walioshevu labda kiduku/kisahani/Afro halafu wakaweka bleach kichwani?
Mimi nikiona mwanamke kaweka hivyo nina hakika huyo mtu hajitambui na hajakua, bado anatafuta identity ya maisha. Kiufupi hua naona ni mwanamke malaya (Sorry) maana mtu anayejiheshimu hawezi weka bleach.
Mwanamke aliyeweka rangi kichwani akae mita 500 kutoka usawa wa bahari (sehemu nilipo). Siwezi date na mtu wa namna hiyo!
Nyie mwawachukuliaje?
Na Wale wanavaa malapa (sandals) zenye manyoamanyoaWenzangu hua mnawaonaje wasichachana/wanawake walioshevu labda kiduku/kisahani/Afro halafu wakaweka bleach kichwani?
Mimi nikiona mwanamke kaweka hivyo nina hakika huyo mtu hajitambui na hajakua, bado anatafuta identity ya maisha. Kiufupi hua naona ni mwanamke malaya (Sorry) maana mtu anayejiheshimu hawezi weka bleach.
Mwanamke aliyeweka rangi kichwani akae mita 500 kutoka usawa wa bahari (sehemu nilipo). Siwezi date na mtu wa namna hiyo!
Nyie mwawachukuliaje?
Wala hata sio wazimu mkuu, ni mtazamo binafsi kulingana na uzoefu binafsi kuwahusu. Na haimaanishi kuwa niko sahihi.Hadi sisi wa low cut?!!
Una wazimu we
Hata mimi mwenyewe huwa nawaza hivo hivo sijui nikwa nini, Yaani huwa nahisi wanagawa sana naniliu zaoWenzangu hua mnawaonaje wasichachana/wanawake walioshevu labda kiduku/kisahani/Afro halafu wakaweka bleach kichwani?
Mimi nikiona mwanamke kaweka hivyo nina hakika huyo mtu hajitambui na hajakua, bado anatafuta identity ya maisha. Kiufupi hua naona ni mwanamke malaya (Sorry) maana mtu anayejiheshimu hawezi weka bleach.
Mwanamke aliyeweka rangi kichwani akae mita 500 kutoka usawa wa bahari (sehemu nilipo). Siwezi date na mtu wa namna hiyo!
Nyie mwawachukuliaje?
Unamaanisha Dina marios ni Malaya ???Wenzangu hua mnawaonaje wasichachana/wanawake walioshevu labda kiduku/kisahani/Afro halafu wakaweka bleach kichwani?
Mimi nikiona mwanamke kaweka hivyo nina hakika huyo mtu hajitambui na hajakua, bado anatafuta identity ya maisha. Kiufupi hua naona ni mwanamke malaya (Sorry) maana mtu anayejiheshimu hawezi weka bleach.
Mwanamke aliyeweka rangi kichwani akae mita 500 kutoka usawa wa bahari (sehemu nilipo). Siwezi date na mtu wa namna hiyo!
Nyie mwawachukuliaje?
Huna akiliWala hata sio wazimu mkuu, ni mtazamo binafsi kulingana na uzoefu binafsi kuwahusu. Na haimaanishi kuwa niko sahihi.
Shukran mkuu.Huna akili