Camp Lehigh
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 335
- 612
- Thread starter
- #41
Acha kujipendekeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujipendekeza
Mara nyingi hua wahuni zaidi,;rahisi kuwapataMm mwanamke anayejifunika sana wale wa kiislam wale ndo wakuogopwa kama ukomaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaacha kupambana na umaskini wako unawaza kuwanyanyapaa wanawake wa kiislam, uwakalie mbali wao ndio walikunyima ile laki 5?
Inanihusu sababu umewatukana wanawake wa kiislam na mimi ni mmoja wao.Comment yangu inakuhusu nn bibie mpaka ukaiquote? Ungeandika yako tuuuu ya kukufurahisha ww
Sent using Jamii Forums mobile app
Inanihusu sababu umewatukana wanawake wa kiislam na mimi ni mmoja wao.
Sasa kama wewe unafanya umalaya si wewe kwanini uwajumuishe wamama wa kiislam wakati wajua wazi umalaya ni hulka ya mtu husika.
Wajue wanawake ambao usipotumia Condom inakula kwakoWenzangu hua mnawaonaje wasichachana/wanawake walioshevu labda kiduku/kisahani/Afro halafu wakaweka bleach kichwani?
Mimi nikiona mwanamke kaweka hivyo nina hakika huyo mtu hajitambui na hajakua, bado anatafuta identity ya maisha. Kiufupi hua naona ni mwanamke malaya (Sorry) maana mtu anayejiheshimu hawezi weka bleach.
Mwanamke aliyeweka rangi kichwani akae mita 500 kutoka usawa wa bahari (sehemu nilipo). Siwezi date na mtu wa namna hiyo!
Nyie mwawachukuliaje?
Sasa kama wewe unafanya umalaya si wewe kwanini uwajumuishe wamama wa kiislam wakati wajua wazi umalaya ni hulka ya mtu husika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia hawalewi ukiwatoa out
wanauza na nguva pia.Mi hao nawachukulia kama machangu ,wauza papa
sent from toyota Allex
Labda unauza nguva tuNimeweka purple kichwani ni manjonjo tu mimi si muuza papa
mm napenda sana mkuuWenzangu hua mnawaonaje wasichachana/wanawake walioshevu labda kiduku/kisahani/Afro halafu wakaweka bleach kichwani?
Mimi nikiona mwanamke kaweka hivyo nina hakika huyo mtu hajitambui na hajakua, bado anatafuta identity ya maisha. Kiufupi hua naona ni mwanamke malaya (Sorry) maana mtu anayejiheshimu hawezi weka bleach.
Mwanamke aliyeweka rangi kichwani akae mita 500 kutoka usawa wa bahari (sehemu nilipo). Siwezi date na mtu wa namna hiyo!
Nyie mwawachukuliaje?
😂😂😂😂😂