mbombo mte
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 713
- 197
tayari imerudia kosa lilelile....silly.
Na wewe pia umechanganya lugha...............ULEMOLA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tayari imerudia kosa lilelile....silly.
Mkuu Jerry kuna na hao watu wa Rifaro kila siku ni kusumbua watu see yaani mtu akishaingia cha kike kuilipa rifaro kurudisha kaela kake anashurutisha watu kujiungaMazuzu tu ndio wanaendelea na huu upuuzi
acha uongo kkWaliofanikiwa zaidi wameacha ajira zao na wengine bado wanaendelea. Kuna mwengine anaona hela anayoingiza forever ni zaidi ya mshahara wake ameona bora aache ajira yake nakujikita na busness. Hela ipo lakin u have to work hard especially katika ku recruit watu, hiyo team yako lazima ifanye kazi coz isipo fanya kazi jihesabu huna chako. Ukiwa na team inayojituma hayo mafanikio makubwa utayaona. Ni busness nzuri lakini ni lazima uwe committed, sisi wengine commitment ilitushinda.
Tamalisa kumbe umekua busy upo na hawa matapeli? achana nao vitu ambavyo ni too much theoretical sio issueNop, focus ya kwanza ni afya, mambo ya biashara yanafuata, tena ukipenda sio lazima, bt acha wanaoteseka wapate afya as you.
kwa uchumi wa nchi hii umuuzie mtu dawa ya meno Elf 15 sio rahis kwa hio hii ni vitu vya kufikirika tuHabarini wadau.
Ninaelimishwa Sana na mada zijadiliwazo humu ndani. Leo natamani kuelimishwa kuhusu membership za kampuni za gnld, forever living na nyinginezo Kama hizi.
Ni Mara ya tatu sasa wanakuja kwangu na ushawishi mkubwa kwamba kampuni hizi zitanipa faida kubwa yaani nitatoka kimaisha.
Sina wasiwasi na products zao nna wasiwasi na mafanikio makubwa wayapatao wanachama kwa kadri uongezavyo watu. Wasiwasi wangu sasa ni huu; hakuna uhusiano wa kampuni hizi na free mason? Mbona hatusikii zikijitangaza kwenye vyombo vya habari?
Kama kuna faida kubwa kuwa huko mbona basi watu wasiache ajira zao na biashara zao na kujiunga na kampuni hizo? Msaada jamani. Pesa naipenda ila zina mipaka yake
Wakati nipo chuo kuna rafiki yangu mmoja mjasiriamali (mangi ) baada ya kupokea bumu lake, akapeleka Forever Living Products laki sita yote. Kilicho mtokea kinasikitisha, ilibidi hizo dawa aanze kuzitumia mwenyewe kwa kuzinywa.. Semester ilikuwa ngumu sana kwake, ashukuru Mungu alikuwa anasoma BAGEN ila vinginevyo angeliwa kichwa..sasa hivi hataki kabisa kusikia kitu chochote kile kinachoitwa FLP au GNLD
Its all a pyramid scheme!Dah! Nimejikuta nacheka saaana ....Hawa watu si wazuri kabsaaa ..Yaani usipende kuwa no jirani ukiwa na mpango wa kupata kiasi cha pesa maana zote utazipeleka huko..Ukizingatia usawa huu cjui!!!