Mnawahudumiaje Wateja wakorofi?

Mnawahudumiaje Wateja wakorofi?

Kuna mteja alikua anapiga simu anaomba bidhaa, nampelekea nikifika anaanza maneno mara package ndogo, nenda hela utaijia ukifata hela manenooo....baada ya muda anapiga simu nipeleke tena nikichelewa kupokea anafoka.

Nilimchoka.....nikamwambia kuanzia leo sikuuzii alijua utani piga simu namwambia mzigo upo ila ila sikuuzii, kila siku akawa anapiga jibu lile lile sikuuzii, juzi kaja kwa kujificha anafata mzigo mwenyewe pambafff zake mteja mfalme my a s s

Naam. 👏
 
Hii ni biashara gani? Ya Ice Cream ama pipi?
formula ya biashara zote mkuu ndivyo wateja walivyo baadhi. Kuna mtu anapotoa hela yake kukupa humuuma sana japo anakuwa ananunua ama kupata huduma ya bidhaa itayomsaidia ila ndio hivyo hatuko sawa katika kuumbwa kwetu.
 
Tunavunja bei sana ila bado kuna vichomi
Sijasema uvunje bei bali uza kitonga, Mfano bidhaa ambayo common mtu ataipata kwa 400,000+ popote atakapoenda sasa utokee wewe unaiuza kwa 100,000
 
Si bora wewe....mimi bidhaa nazouza 98% wanunuz ni ke...aisee pale wanapokuwa wajawazito nilikuwa nachoka...mimba nyingine zinipende na nyingine zinichukie...wengine wakija niwatafutie makopo ya kutemea mate...muda mwingine umeampa kiti apumzike huku akiangalia bidhaa...akitokea mteja mwingine anaulizia bidhaa hapo ofisin...basi unakuta yy anakasirika huku anadai kuwa nimewadekeza wateja huku akisahau hata yy nimemdekeza...aisee wanaume tunateseka...ingawa mimi ni mvumilivu haswa yaan mteja atachoka yy...mi sichok napata hela tuu...kwa kifupi kufanya biashara na wanawake na ww uwe mtt wa kiume ambae unaweza soma saikolojia raha sana
 
formula ya biashara zote mkuu ndivyo wateja walivyo baadhi. Kuna mtu anapotoa hela yake kukupa humuuma sana japo anakuwa ananunua ama kupata huduma ya bidhaa itayomsaidia ila ndio hivyo hatuko sawa katika kuumbwa kwetu.
Ni kweli hatuko Sawa katika kuumbwa kwetu lakini hii haina maana ya kujipa umuhimu hata pasipo hitajiwa umuhimu huo.
 
Jibu ni moja tu
Asante, Karibu tena
 
Back
Top Bottom