Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 38,283 Reaction score 97,793 Apr 29, 2024 #21 Mapenzi ya kweli yapo ila kumpata mwenye nayo ndio changamoto.
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 19,955 Reaction score 45,207 May 24, 2024 #22 Chaggabeibe said: Wakuu kwema? Mimi nina swali dogo sana. Watu hua wanasali sala gani au wanafanya nini mpka wanapata wapenzi wenye mapenzi ya dhati na wametulia? Click to expand... Mkuu wapo wengi saaana wenye mapenzi ya kweli. Labda tukuoneshe wadada wenye big brain and well composed alafu Wana true love mmoja wapo ni ephen_
Chaggabeibe said: Wakuu kwema? Mimi nina swali dogo sana. Watu hua wanasali sala gani au wanafanya nini mpka wanapata wapenzi wenye mapenzi ya dhati na wametulia? Click to expand... Mkuu wapo wengi saaana wenye mapenzi ya kweli. Labda tukuoneshe wadada wenye big brain and well composed alafu Wana true love mmoja wapo ni ephen_
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 19,955 Reaction score 45,207 May 24, 2024 #23 kichekoh said: yaani mi nijihangaishe kutoka na mwanamke wa JF kumamae, labda nizaliwe upya Click to expand... Wanawake WA jf Kwan wanaishi Sayari gan?? Ndio hawa hawa unaowaona huko mtaani
kichekoh said: yaani mi nijihangaishe kutoka na mwanamke wa JF kumamae, labda nizaliwe upya Click to expand... Wanawake WA jf Kwan wanaishi Sayari gan?? Ndio hawa hawa unaowaona huko mtaani
E EnnaT Member Joined Apr 8, 2024 Posts 33 Reaction score 20 May 24, 2024 #24 Mmh nishaachaha kutafuta mapenzi ya kweli.
PSL god JF-Expert Member Joined Nov 18, 2023 Posts 8,435 Reaction score 6,476 Oct 24, 2024 #25 Chaggabeibe said: Wakuu kwema? Mimi nina swali dogo sana. Watu hua wanasali sala gani au wanafanya nini mpka wanapata wapenzi wenye mapenzi ya dhati na wametulia? Click to expand... Komaaa
Chaggabeibe said: Wakuu kwema? Mimi nina swali dogo sana. Watu hua wanasali sala gani au wanafanya nini mpka wanapata wapenzi wenye mapenzi ya dhati na wametulia? Click to expand... Komaaa
PSL god JF-Expert Member Joined Nov 18, 2023 Posts 8,435 Reaction score 6,476 Oct 24, 2024 #26 Ayos said: Kuna mmoja alikua ni wife material kabsa mpole, hana makuu, ananiheshimu yaani kila kitu yuko poa.. ila sijui nini kilikua kinanifanya natafta sababu ya kuachana nae, sasa hvi niko na mmoja huyo, meseji natuma anaisoma alafu ajibu Click to expand... Hahaha
Ayos said: Kuna mmoja alikua ni wife material kabsa mpole, hana makuu, ananiheshimu yaani kila kitu yuko poa.. ila sijui nini kilikua kinanifanya natafta sababu ya kuachana nae, sasa hvi niko na mmoja huyo, meseji natuma anaisoma alafu ajibu Click to expand... Hahaha