Mnawezaje kuishi na mwanamke anayepiga makelele na kuongea maneno mengi ya siyoisha

Mnawezaje kuishi na mwanamke anayepiga makelele na kuongea maneno mengi ya siyoisha

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Ndugu zangu habari za weekend wakuu

Kuna wakati mwanaume hutaki kukaa nyumbani kukwepa makelele ya mwanamke na maneno mengi yasiyo na mpango. Ila kuna kipindi mwili na akili vinachoka kudhurura vinaona bora upumzike nyumbani kwako hata kidogo kuliko kwenda bar, kijiwe au kukodi lodge ili kulala mchana

Shida inakuja umeamua kupumzika nyumbani ila sasa ni kelele, maneno yasiyo na mpangilio mara lawama za kila aina na ukiamua kukaa kimnya huku umejilaza kitandani atajifanya anapangua kabati akunje nguo na kuzitupia kitandani kusudi tuu akukere.

Je, wakuu mnawezaje kuyashinda haya majaribu na kuishi na mwanamke wa design hii ujizingatia ukisema ufukuze uishi na mwingine utafukuza wengi sana ndugu zangu

Mm kushinda nje ya nyumba yangu wakati mwingine siwezi naona nateseka zaidi
 
Mnajichukulia tu watu bila kuangalia vitu vya msingi. Mwanamke anafunga kanga kiunoni ili akuchambe, ukirudi kazini kaweka taarab za kukuteta, mkipishana kauli anarap over 50cent.

Look for a woman of substance !!
Umeongea sahihi mkuu mim mwanamke anaeskiza taarabu na kujifanya muimbaji hua kamwe siwez kua na mahusiano nae
 
Ndugu zangu habari za weekend wakuu

Kuna wakati mwanaume hutaki kukaa nyumbani kukwepa makelele ya mwanamke na maneno mengi yasiyo na mpango. Ila kuna kipindi mwili na akili vinachoka kudhurura vinaona bora upumzike nyumbani kwako hata kidogo kuliko kwenda bar, kijiwe au kukodi lodge ili kulala mchana

Shida inakuja umeamua kupumzika nyumbani ila sasa ni kelele, maneno yasiyo na mpangilio mara lawama za kila aina na ukiamua kukaa kimnya huku umejilaza kitandani atajifanya anapangua kabati akunje nguo na kuzitupia kitandani kusudi tuu akukere.

Je, wakuu mnawezaje kuyashinda haya majaribu na kuishi na mwanamke wa design hii ujizingatia ukisema ufukuze uishi na mwingine utafukuza wengi sana ndugu zangu

Mm kushinda nje ya nyumba yangu wakati mwingine siwezi naona nateseka zaidi
Dah!! yaani nilijua ni peke yangu.
 
Ningepata changamoto kama hiyo..

Ningefanya hili:-

1- Ningetafuta Chumba na kukiwekea furniture kila kitu cha msingi..

Then.. kila nikiwa na Ajenda zangu za siri au kama hivyo kelele nyingii basi sina budi kwenda kupumzika huko hata wiki..

Akikumiss atapunguza vumbwanga.. shida mkikaa pmj kila siku anakuona huwa anakuchukulia kama Mwanamke mwenzake vile.
 
Ndugu zangu habari za weekend wakuu

Kuna wakati mwanaume hutaki kukaa nyumbani kukwepa makelele ya mwanamke na maneno mengi yasiyo na mpango. Ila kuna kipindi mwili na akili vinachoka kudhurura vinaona bora upumzike nyumbani kwako hata kidogo kuliko kwenda bar, kijiwe au kukodi lodge ili kulala mchana

Shida inakuja umeamua kupumzika nyumbani ila sasa ni kelele, maneno yasiyo na mpangilio mara lawama za kila aina na ukiamua kukaa kimnya huku umejilaza kitandani atajifanya anapangua kabati akunje nguo na kuzitupia kitandani kusudi tuu akukere.

Je, wakuu mnawezaje kuyashinda haya majaribu na kuishi na mwanamke wa design hii ujizingatia ukisema ufukuze uishi na mwingine utafukuza wengi sana ndugu zangu

Mm kushinda nje ya nyumba yangu wakati mwingine siwezi naona nateseka zaidi
Utafiti unaonesha mwanamke anaongea maneno 7,000 kwa siku, mwanamme 2,000
Cha kushangaza robo tatu ya hayo maneno 7000 ni pumba tupu.
 
Ndugu zangu habari za weekend wakuu

Kuna wakati mwanaume hutaki kukaa nyumbani kukwepa makelele ya mwanamke na maneno mengi yasiyo na mpango. Ila kuna kipindi mwili na akili vinachoka kudhurura vinaona bora upumzike nyumbani kwako hata kidogo kuliko kwenda bar, kijiwe au kukodi lodge ili kulala mchana

Shida inakuja umeamua kupumzika nyumbani ila sasa ni kelele, maneno yasiyo na mpangilio mara lawama za kila aina na ukiamua kukaa kimnya huku umejilaza kitandani atajifanya anapangua kabati akunje nguo na kuzitupia kitandani kusudi tuu akukere.

Je, wakuu mnawezaje kuyashinda haya majaribu na kuishi na mwanamke wa design hii ujizingatia ukisema ufukuze uishi na mwingine utafukuza wengi sana ndugu zangu

Mm kushinda nje ya nyumba yangu wakati mwingine siwezi naona nateseka zaidi
Tunaishi nao kwa akili.
 
Ndugu zangu habari za weekend wakuu

Kuna wakati mwanaume hutaki kukaa nyumbani kukwepa makelele ya mwanamke na maneno mengi yasiyo na mpango. Ila kuna kipindi mwili na akili vinachoka kudhurura vinaona bora upumzike nyumbani kwako hata kidogo kuliko kwenda bar, kijiwe au kukodi lodge ili kulala mchana

Shida inakuja umeamua kupumzika nyumbani ila sasa ni kelele, maneno yasiyo na mpangilio mara lawama za kila aina na ukiamua kukaa kimnya huku umejilaza kitandani atajifanya anapangua kabati akunje nguo na kuzitupia kitandani kusudi tuu akukere.

Je, wakuu mnawezaje kuyashinda haya majaribu na kuishi na mwanamke wa design hii ujizingatia ukisema ufukuze uishi na mwingine utafukuza wengi sana ndugu zangu

Mm kushinda nje ya nyumba yangu wakati mwingine siwezi naona nateseka zaidi
Tatizo ni kukurupuka kuoa mwanamke ambaye amuendani! Hayo yote utayagundua kipindi cha mpito/uchumba. Vilevile ni kuoa mwanamke ambaye humpendi kutoka rohoni! Mwanamke unayempenda hawezi kuwa kero na kila unachokifanya utavutiwa na kupenda kumsaidia!
 
Mkuu Ndoa ni kuvumiliana!
Hakikisha chakula kipo ndani ya nyumba!
CHangamoto kama huna hela mfukoni,ndiyo utaiona nyumba ni moto! Si kelele hizo.
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Swali lingeanza', "Mnawezaje kufanya ujinga wa kuoa?"
 
Mnajichukulia tu watu bila kuangalia vitu vya msingi. Mwanamke anafunga kanga kiunoni ili akuchambe, ukirudi kazini kaweka taarab za kukuteta, mkipishana kauli anarap over 50cent.

Look for a woman of substance !!
wewe ulimpataje?
 
Back
Top Bottom