Mnawezaje kuishi na watu wanaowaambia mama zao kila kitu kuhusu wenza walionao?

Mnawezaje kuishi na watu wanaowaambia mama zao kila kitu kuhusu wenza walionao?

Una kazi kubwa sana...yaani mama akikuchoka ni anatoa order tu uachwe na sababu jamaa yako hana kichwa cha kujitegemea atakufukuza ukute tayari na watoto mnao. Yaani hapo ni ujitajidi kumnyenyekea mama mkwe nje ya Hapo unalo.
 
Una kazi kubwa sana...yaani mama akikuchoka ni anatoa order tu uachwe na sababu jamaa yako hana kichwa cha kujitegemea atakufukuza ukute tayari na watoto mnao.
Yaani hapo ni ujitajidi kumnyenyekea mama mkwe nje ya Hapo unalo.
shida huyu mtoto wa mama atengenezejww ili aelewe anatakiwa ajitegemee kiakili, kimaamuzi, kifikra na hata kiuchumi?
 
shida huyu mtoto wa mama atengenezejww ili aelewe anatakiwa ajitegemee kiakili, kimaamuzi, kifikra na hata kiuchumi?
Aisee ni kazi sana sikukatishi tamaa lakini Nina ushuhuda wa watu wa aina hiyo ambao walishindwa kubadilika kabisa hasa pale unapotofautiana na mama yake.
Na sio kwamba anamchukia mke wake ila anataka kumridhisha mama yake na huwa wapo tayari hata kuvunja ndoa bila hata sababu ya msingi.
 
Baada ya Mungu ni mama


Achana na hao ambao kila kitu ni Mama's
Kuna wale ambao wanajitegemea kimaamuzi na kila kitu na hawana ukaribu huo na mama

Ila mama kwao ni first labda wawe na watoto
Yaani hao hata kama mama amekosea nitakuwa upande wake hata kama wewe ni innocent huna kosa najua sio fair Ila ndio hivyo hakuna namna

So hata akiniambia nikuache hata kama nakupenda sana hata kama itaniathiri vibaya sana nakuacha kiroho safi

Na sita regret chochote iko hivyo

Tuendelee kuchangia tozo
 
Mliwezaje kuishi na hawa wakuitwa mtoto wa mama?

Yaani mnachopanga mama anakijua, mkikutana mama anajua, mkisimuliana background mama anajua, ukiomba hela mama anajua tena anaomba ushauri kwa mama kwanza kabla ya kukupa hela, mkikorofishana mama anajua, mkipatana mama anajua ukiumwa ukimwambia mama ashajua.

Naweza kusema sio mbaya ila mama akoshajua haishii hapo huwa anampa na conclusion kabisaaa. Yaani huyo mtoto wa mama anaishi maisha ya mama sio yake. Yote mzungumzayo hufika kwa mama si kwamba hana kifua ni kulemazwa kuwa mama ampe tecnic za kuishi na mwenza wake.

Mbaya zaidi mama huyu naye umri ukipita wa kustaafu halafu ujana wake aliutumia kujipamba, mawigi na kuoshwa miguu na vijana wapaka rangi akistaafu pesa hupungua, mwanae ndiye anayekuwa ajira mpya ya kutimiza mapungufu.
sasa mama huyu kamseti mtoto toka awali na mtoto nae ndiyo hivyo mambo yote mama anayo, uhusiano huo utasonga mbele kweli?

Hebu mtupe ujuzi namna ya kuishi kwenye mahusiano na hawa watoto wa mama.


KARIBUNI.


Hakuna mwanaume wa hivyo.
HAO ni mashoga
 
Kwa hiyo uitaka uchukuwe nafasi ya mama yake? Shida wanawake mkishaolewa mnataka kusikiizwa nyie tu! Kama mama anamshauri vzr Kuna shida Gani? Mpaka anaenda kupata ushauri Kwa mama tambua Kuna sehemu ww kama mke unafeli Tena unafeli sana umejaa malalamiko tu
 
Back
Top Bottom