Mnawezaje kununua nguo nzuri za mtumba?

Mnawezaje kununua nguo nzuri za mtumba?

Nguo zipo tena kali tu kwa kuanzia nampa tano fredy mitumba yuko twitter goli lake liko kahama namkubali sana mwamba nguo ziko izuri

Kahama kwa mtumba class hata mwanza hawawafikii, zamani mtumba safi nilipata mbeya nako naona wanauza lonya tu, siku hizi navizia kahama au kampala ndio unanunua kitu unavaa unajiona kweli umevaa, hata viatu vya mtumba kahama kuna mwamba anaitwa michael yuko njema hana kazi mbovu
 
Kahama kwa mtumba class hata mwanza hawawafikii, zamani mtumba safi nilipata mbeya nako naona wanauza lonya tu, siku hizi navizia kahama au kampala ndio unanunua kitu unavaa unajiona kweli umevaa, hata viatu vya mtumba kahama kuna mwamba anaitwa michael yuko njema hana kazi mbovu
Viatu kuna kacha mitumba na na mUwezo org wasake insta utakubali mie ninachangamoto ya suruali za kadeti ndio hakuna
 
Ni sahih kbsa mm jirani na karume pale ila sijawi bahatisha nguo inayonifiti vzr ,wale jamaaa wanajuwa San kupoint nguo

Waaniletee that ambalo wao kule wamekamat kwa elf 500 had 4000 wakija kwangu wananingangania kwa elf 15000 mwisho 12 ila Ni Kali kweli
Huyo mtoto uliyemuweka kama avatar yako namtafuta kwelikweli.
 
Nilidhani upo Dar, ungeenjoy mitumba classic first class for cheap price.

Tena wakishajuwa size yako zikitoka pamba Kali tu unarushiwa WhatsApp ukiipenda unaletewa nyumbani.

Binafsi huwa nakwenda madukani Mara chache sana, rafiki zangu wanaokwenda China na Uturuki wakija na mzigo nachaguwa kupitia Wasapu naletewa nyumbani, wanajuwa size yangu.
Naomba hiyo connection kama hutojali. Nipo dar
 
Kahama kwa mtumba class hata mwanza hawawafikii, zamani mtumba safi nilipata mbeya nako naona wanauza lonya tu, siku hizi navizia kahama au kampala ndio unanunua kitu unavaa unajiona kweli umevaa, hata viatu vya mtumba kahama kuna mwamba anaitwa michael yuko njema hana kazi mbovu

Yupo mitaa gani?
 
Nilidhani upo Dar, ungeenjoy mitumba classic first class for cheap price.

Tena wakishajuwa size yako zikitoka pamba Kali tu unarushiwa WhatsApp ukiipenda unaletewa nyumbani.

Binafsi huwa nakwenda madukani Mara chache sana, rafiki zangu wanaokwenda China na Uturuki wakija na mzigo nachaguwa kupitia Wasapu naletewa nyumbani, wanajuwa size yangu.
wanapatikana wapi nipe ramani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa Uzi..je umbo lako au mwili wako ukoje..maana nguo ileile iliyompendeza mwenzio kwako inaweza isikupendeza kutokana na mwili wako ulivyo.
 
Mtoa Uzi..je umbo lako au mwili wako ukoje..maana nguo ileile iliyompendeza mwenzio kwako inaweza isikupendeza kutokana na mwili wako ulivyo.

Mwili wa wastani sio mnene wala mwembamba
 
Yeah, kuwahi asubuh nayo n point.., but sna uhakika pale ilala boma mzigo mpya huwa unaingia kila siku ama n sku gani katika week ili kufanya timing nzuri ya nguo kabla azijaishiaa
Msaada please mwenye kujua mzigo mpya hua unakuja jumangap??

Pia sehem zngne n zipi naskia pia kuna maeneo ya machnga complex

Sehem zngne n zp ambazo naweza nkafanya timing ya mabelo mapya kuchagua na n juma ngap
 
Nilidhani upo Dar, ungeenjoy mitumba classic first class for cheap price.

Tena wakishajuwa size yako zikitoka pamba Kali tu unarushiwa WhatsApp ukiipenda unaletewa nyumbani.

Binafsi huwa nakwenda madukani Mara chache sana, rafiki zangu wanaokwenda China na Uturuki wakija na mzigo nachaguwa kupitia Wasapu naletewa nyumbani, wanajuwa size yangu.
Mkuu tupe bei zake tujue maana mie nipo hapa dar nijipange unijiunge humo
 
Kuna ile mitumba glade1 mimi hua nanunua kwa 12-15 ni kali sana kuna t-shirts pens na jeans kali lakini ukitaka mtumba mbovu ndo utanunua kwa afutatu
 
Habari zenu watanashati nina shida leo Naomba msaada hivi mnawezaje kuchagua nguo kwenye mtumba tena zile grade nzuri kabisa mbona mimi nimeshindwa kila nikinunua nguo mtumbani nikifika nyumbani naiona mbaya tena nikivaa hainipendezi kabisa

Naombeni muongozo nifanyaje nitumie mbinu gani kupata nguo nzuri mtumbani

Je, kuna vigezo vyovyote mnavyotumia kupata nguo zinazowapendeza

Asante
kuna watu kila chochote anachonunua machoni pa watu huwa wanakiona kizuri. Ushawahi jiuliza kwanini
 
Back
Top Bottom