carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Nampataje Twitter?
Andika fredymboya kwenye twitter search yako utampata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nampataje Twitter?
Nilidhani upo Dar, ungeenjoy mitumba classic first class for cheap price.
Tena wakishajuwa size yako zikitoka pamba Kali tu unarushiwa WhatsApp ukiipenda unaletewa nyumbani.
Binafsi huwa nakwenda madukani Mara chache sana, rafiki zangu wanaokwenda China na Uturuki wakija na mzigo nachaguwa kupitia Wasapu naletewa nyumbani, wanajuwa size yangu.
Kahama kwa mtumba class hata mwanza hawawafikii, zamani mtumba safi nilipata mbeya nako naona wanauza lonya tu, siku hizi navizia kahama au kampala ndio unanunua kitu unavaa unajiona kweli umevaa, hata viatu vya mtumba kahama kuna mwamba anaitwa michael yuko njema hana kazi mbovu
Elf 20???Shati og kabisa bei 20,000.
Shati Brand kubwa.View attachment 2567584View attachment 2567585View attachment 2567586View attachment 2567587View attachment 2567588View attachment 2567589
Yaah huu sio mtumba kama wa karume, huu mtumba wenyeweElf 20???
KWELI DADADANGU WATU WANAVOSIKIA MTUMBA WANADHANI NDO NGUO ZA BEI RAHISI, HAWAJUI KAMA KUNA GRADE 1 AMBAZO NDO HIGH QUALITY NA EXPENSIVE KULIKO SPECIAL ZA WACHINA.Mimi navaa mtumba 90% ya nguo zangu zote
Sijisifiii ila napendeza haswa [emoji23]
Kuvaa kupendeza na kuchagua nguo nzuri ni sanaa tu au kipaji sio kila mtu anacho.
kama huna macho/kipaji kununua nguo nunua zilizotundikwa.
Mimi nashinda mitaa ya posta samora dar es salaam
Kuna watu wanauza mtumba gradeA quality ya juu sana price 15,000 _55,000
Upo instagram wafollow @daju.collection
Chukua namba0718446630 mwambie akusave uone status pia mpe size yako au fika dukani kwao maana 90% ya nguo anazopost insta ni zilizobaki.
Kila siku saa7 mchana wadada wako dukani kwao wanagombania nguo
Halafu ukitaka kupata mtumba safiiii usiwe mbahili [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani mtu anawaza mtumba elfu8 hivi ikizidi elfu 10 yaani hapo kajikaza kweli......Hizo ni ronya mtumba kwelikweli ni gharamaKWELI DADADANGU WATU WANAVOSIKIA MTUMBA WANADHANI NDO NGUO ZA BEI RAHISI, HAWAJUI KAMA KUNA GRADE 1 AMBAZO NDO HIGH QUALITY NA EXPENSIVE KULIKO SPECIAL ZA WACHINA.
Nenda tengeru Wednesday na Saturday.Mimi Nipo Arusha na hua naenda kununua krokoni au moshi memorial
Hahaha, ila wewe.Tuko wengi.Mi nainama kusarura mpaka nikiinuka kiuno kinalia "kho" grade kwio
Ndo maisha wangu😘
Sema siku hizi mi sipaelewi pa kupata nguo nzuri. Nafanya kubahatisha. Zamani zile mwenge na makumbusho stend siku hizi sipaelewi kbs. Nguo kama zimechoka.Ndo maisha wangu[emoji8]