Mnayasababisha wenyewe halafu mnalalamika

Mnayasababisha wenyewe halafu mnalalamika

Hapo hapo wapo wanawake wakisusiwa wasiombwe mpaka hela watatoa ili wapate. Mambo ya ngono yaachwe tu kama yalivyo.
 
Simple method ni kulipia baada ya huduma. Mkikutana tu na kumalizana pima huduma uliyopewa ili ujue unampa kiasi gani kama shukrani. Then kila mtu ashike hamsini zake. Kibubu kikijaa tena ufanye the same, lakini kama unaona una pesa za kutosha kutoa huduma sio vibaya...
 
Thubutuu wanawake wa Tanzania na kukumbwa na matatizo baada ya kutongozwa haina uhusiano na kuombwa uchi.
Hahah sasa shida ikikubana si unamuuliza jirani akoo
 
Akikupa namba uka chati nae siku tatu tuu bila hata ya kumtongoza lazima akupige bomu la hypersonic, asubiri kuombwa "k" yeye anapasuka tuu, Shida yenu kubwa mmegeuza mahusiano kua sehemu ya kujipatia kipato mnaleta ujasiriamali kwenye mahusiano, vijana wa hovyo wanaita "ujasiria k" matokeo yake ni kuendelea kutumika kama toilet paper tuu, 🚶🚶🚶🚶🚶🚶
 
Wengine wanaomba hela wala hatuja omba chochote kwao wenyewe wanasema hyo ndio njia ya kuangalia upendo kwa mwanaume na kukimbiza wanaume wenye nia ovu.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Ujumbe kwenye picha unahusika sana....

Wanaume mmekuwa mkilaani sana kuombwa mahitaji baada ya muda mfupi baada ya kumuelewa mwanamke wa kitanzania.

Sasa wewe tumekutana leo leo halafu unaniambia umenielewa ...nikiuliza umenielewaje unajibu unataka mzigo.... Huku na huku tunachat mara paaaap unataka uone punanii

Sasa mbona wewe umeenda resi kwenye kutaka mzigo....na mimi nikikuomba kwa roho safii unisaidie nilipokwama nView attachment 2506856

Mkitaka msiombwe hela siku hiyo hiyo au kutwishwa matatizo ya wanawake jaman na nyie muwe na subra ya kuomba K au picha ya K baada ya miezi japo mitatu.
Hapo tutaenda sawa.
So unaiuza au? Si utaje bei kabisa mapema tumalizane
 
Ndio unavyoniona babe,,[emoji27]

8f244331-d5ed-4409-b590-793e11e7ec72.jpg
 
Ujumbe kwenye picha unahusika sana....

Wanaume mmekuwa mkilaani sana kuombwa mahitaji baada ya muda mfupi baada ya kumuelewa mwanamke wa kitanzania.

Sasa wewe tumekutana leo leo halafu unaniambia umenielewa ...nikiuliza umenielewaje unajibu unataka mzigo.... Huku na huku tunachat mara paaaap unataka uone punanii

Sasa mbona wewe umeenda resi kwenye kutaka mzigo....na mimi nikikuomba kwa roho safii unisaidie nilipokwama ni vibaya?

View attachment 2506855View attachment 2506856

Mkitaka msiombwe hela siku hiyo hiyo au kutwishwa matatizo ya wanawake jaman na nyie muwe na subra ya kuomba K au picha ya K baada ya miezi japo mitatu.
Hapo tutaenda sawa.
Nlikuwa sijui kumbe ni barter trade sio, ili upewe punany unatakiwa ucompesate pesa, yan wanawake mbona mnafanya value yenu ishuke ivyo? Yan umefikiria ukaona pussy huwa inabadilishwa na fedha? Hilo limange lenyewe beki hazikabi kwanza chembamba kama bimkora ila mashauz utasema yeye beyonce, kudadeki... Ndio mana watu wanawadharau ndio mana watu hawatongozi sikuiz, utashangaa mtu anamtangazia mwanamke dau alafu anamwambia twende nikakukaze sasa si ndio logic nzima ya muktadha wa nipe nikupe, mapenz yako wapi?
 
Back
Top Bottom