Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Fanya babe for real basi for valentine I LOVE U TOO MYN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya babe for real basi for valentine I LOVE U TOO MYN
Soma comment ya Carrasco putin anavyosemaSijui kwanini hawataki kuombwa Hela?
🤣Huyo mumeo ni shidraaSoma comment ya Carrasco putin anavyosema
Achana nao twende Sumbawanga tukatengeneze mambo yetuSijui kwanini hawataki kuombwa Hela?
Wee,mi Imani hizo Sina cute nadhani ndo maana wananitosaAchana nao twende Sumbawanga tukatengeneze mambo yetu
I like this MastaKiraka unatendea haki jina 🤣🤣🤣Shida sio kuomba hela shida ni kuwa Omba omba, ukiombwa utelezi jumlisha gharama zako zote za kutoa utelezi ziunganishe kwenye Bill moja. Sio mara naomba hela ya kusuka, mara naomba hela ya bando mara naomba hela ya kula, mara baba anaumwa etc. Kwani kabla ya kukutongoza ulikuwa hauli au hauweki bando?? We piga gharama zako zote kisha niambie ili nikupatie utelezi jumla ya gharama zangu ni Tsh. XX, kisha mimi ndio niangalie hizi gharama kwa huu mzigo zinaendana? Kama zinaendana nifanye malipo unipatie huduma, nikikuhitaji tena unaniandikia bill nyingine. Simple namna hiyo.
Hata mie nasema tu ila mmh hawakutosi bado wako hajaja funga nakuombaWee,mi Imani hizo Sina cute nadhani ndo maana wananitosa
Hi helloI like this 🤣🤣🤣
Amina momHata mie nasema tu ila mmh hawakutosi bado wako hajaja funga nakuomba
Hi Unique FlowerHi hello
Mkuu hao wanaume wa kususia ngono wanapatikana sayari ganiHapo hapo wapo wanawake wakisusiwa wasiombwe mpaka hela watatoa ili wapate. Mambo ya ngono yaachwe tu kama yalivyo.
Mkuu wanawake wakiacha kuomba hela ndiyo mtawaoa mapema siyoAkikupa namba uka chati nae siku tatu tuu bila hata ya kumtongoza lazima akupige bomu la hypersonic, asubiri kuombwa "k" yeye anapasuka tuu, Shida yenu kubwa mmegeuza mahusiano kua sehemu ya kujipatia kipato mnaleta ujasiriamali kwenye mahusiano, vijana wa hovyo wanaita "ujasiria k" matokeo yake ni kuendelea kutumika kama toilet paper tuu, [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Wanaume hatususi ngono. Ila naamini wapo wanawake inaowalazimu kulipia ili wapate hiyo huduma.Mkuu hao wanaume wa kususia ngono wanapatikana sayari gani
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Mkuu kiukweli walioanza uhuni ni wanaume yani wanaume ndio walianza kukosa mapenzi ya dhati kisha wanawake wakaamua kutambaa na beatNlikuwa sijui kumbe ni barter trade sio, ili upewe punany unatakiwa ucompesate pesa, yan wanawake mbona mnafanya value yenu ishuke ivyo? Yan umefikiria ukaona pussy huwa inabadilishwa na fedha? Hilo limange lenyewe beki hazikabi kwanza chembamba kama bimkora ila mashauz utasema yeye beyonce, kudadeki... Ndio mana watu wanawadharau ndio mana watu hawatongozi sikuiz, utashangaa mtu anamtangazia mwanamke dau alafu anamwambia twende nikakukaze sasa si ndio logic nzima ya muktadha wa nipe nikupe, mapenz yako wapi?
Sasa si akampe bubu.. Maneno pia yanachangia kumlainisha mtuDuhh
Mbususu ukiona umepewa basi jua tu amependa akupe lakini sio sababu ya maneno yako.
Wanawake wengi wanaolipia ni wale 'wabovu' kwa mujibu wenuWanaume hatususi ngono. Ila naamini wapo wanawake inaowalazimu kulipia ili wapate hiyo huduma.
Mujibu wenu kina nani?Wanawake wengi wanaolipia ni wale 'wabovu' kwa mujibu wenu
Hii imenitokea dakika chache zilizopita[emoji38][emoji38]Halafu kuna ile ya kuambiwa naumwa. Huo ni mtego ukijifanya unajua kucare utaambiwa kaandikiwa dawa za elfu 35 ila yeye ana elfu 10 tu na hajui atafanya nini [emoji23][emoji23][emoji23]
IL wanawake [emoji119]