Mnayemfahamu au mlio karibu na H. Baba, msaidieni haraka sana - amekwama

Mnayemfahamu au mlio karibu na H. Baba, msaidieni haraka sana - amekwama

Mtoa mada anapaswa kupewa ushuri kuliko hata huyo H.baba mwenye maisha yake mazuri.

Wewe mtoa mada unamtetea Dudu baya alafu unamponda H.baba Ujinga mtupu H.baba anaongea huku Babu talent nimchawi.

Mnyama mkali @Robinidinyo ebu tia neno.
 
yaani nyie watu wa vigodoro bila kuchamba hamjisikii!! kuna taarifa gani za h.baba zilizoombwa hapo we kibiritingoma hadi yakutoke yote hayo?!!! kwani msaada (ndo jambo kubwa lililozungumzwa) wanapatiwa wanawake tu?!!!
 
Mtoa mada anapaswa kupewa ushuri kuliko hata huyo H.baba mwenye maisha yake mazuri.

Wewe mtoa mada unamtetea Dudu baya alafu unamponda H.baba Ujinga mtupu H.baba anaongea huku Babu talent nimchawi.

Mnyama mkali @Robinidinyo ebu tia neno.
Mwanangu nimetia neno mapema tu ila Comment yangu imefutwa na haikua na tusi..
 
Mtoa mada anapaswa kupewa ushuri kuliko hata huyo H.baba mwenye maisha yake mazuri.

Wewe mtoa mada unamtetea Dudu baya alafu unamponda H.baba Ujinga mtupu H.baba anaongea huku Babu talent nimchawi.

Mnyama mkali @Robinidinyo ebu tia neno.

kama umenisoma vizuri, kuna 'Dodo' linalotrend huko mitandaoni nimelitaja katika hiyo para ya mwisho..........sina ushabiki hata punje wa wcb, nielewe vizuri sana!
 
Harmonize atakuwa anafurahia hayo mambo. Nahisi harmonize anatamani sana agombane na Diamond ila anaogopa kuingia yeye mwenyewe miguu yote,hivyo anapandikiza pa kuingilia
 
Harmonize atakuwa anafurahia hayo mambo. Nahisi harmonize anatamani sana agombane na Diamond ila anaogopa kuingia yeye mwenyewe miguu yote,hivyo anapandikiza pa kuingilia
aache tamanio hilo, halitamsaidia kwa muda huu
 
Alifahamika kama mwanamuziki (sijui shughuli yake siku hizi).

Hivi karibuni ameibuka na mtindo wa kumshambulia mwanamuziki Diamond kwa kila anachofanya. Imefikia hatua hata ya kujilinganisha naye kwa anavyonunua. Inasikitisha!

Sielewi anafaidikaje au anakitafuta nini katika mashindano hayo na hata siioni dalili yoyote ya ye kuibuka mshindi ikiwa upande wa pili nao utaamua kuingia katika bifu. Mbaya zaidi, kwa tabia yake hii anamharibia hata Harmonize ambaye ameonesha heshima kubwa kwa bosi wake huyo wa zamani kupitia nyimbo zake.

Mlio karibu msaidieni huyo kijana, ajikite kwenye issues zake. Kama ana hasira sana na anahitaji kutuliza akili basi mwambieni kuna 'Dodo' mtaani huko aende akaisikilize atarudiwa na busara.

Huyo analipwa kwa kufanya huo ujinga,ndio kula yake hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alifahamika kama mwanamuziki (sijui shughuli yake siku hizi).

Hivi karibuni ameibuka na mtindo wa kumshambulia mwanamuziki Diamond kwa kila anachofanya imefikia hatua hata ya kujilinganisha nae kwa anavyonunua. Inasikitisha!

Sielewi anafaidikaje au anakitafuta nini katika mashindano hayo na hata siioni dalili yoyote ya ye kuibuka mshindi ikiwa upande wa pili nao utaamua kuingia katika bifu. mbaya zaidi kwa tabia yake hii anamharibia hata harmonize ambaye ameonyesha heshima kubwa kwa bosi wake huyo wa zamani kupitia nyimbo zake.

Mlio karibu msaidieni huyo kijana, ajikite kwenye issues zake kama ana hasira sana na anahitaji kutuliza akili basi mwambieni kuna 'dodo' mtaani huko aende akaisikilize atarudiwa na busara!!
H dingi ni dalali wa magari jijini Mwanza siku hizi

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Back
Top Bottom