Mnazionaje Ladha za Bia Siku Hizi?

Mnazionaje Ladha za Bia Siku Hizi?

Karibu bia zote kwa sasa zinatengenezwa kwa mahindi badala ya barley ndo maana zipo kama mimaji ni bia kama aina tatu tu zinatengenezwa kwa barley moja wapo ni castle lager. lakini vibia vingine vyote ni mahindi ukinywa ni sawa kunywa komoni ya wahehe.
 
Siku hizi kila nikinywa bia hata demu mbaya namuona mzuli halafu nachelewa kulewa.
 
kuna light beer na lager zenyewe inategemea unapiga nini, ila maji ya dar kwa kiasi kikubwa yanaharubu sana muonjo wa bia mimi ni mnywaji wa castle ila taste ya castle ya arusha plant na dar tofauti kabisa ya arusha imetulia sana na haina ile harufu kali ya bia, na kuhakikisha usemi wangu jamaa yangu yeye mnywaji wa serengeti ila kwa dar anapendelea kilimanjaro alivyokuja arusha nikamwambia taste serengeti then tell me alishangaa na kusema this is beeeeeer
 
Juzi nimekunywa castle Lager , ina muhuri unaoonyesha kuwa imetokabkiwandani siku mbili nyuma yaani 48 hours.....hapo bia haiwezi kuwa imepoa kufikia kiwango cha kunywewa.
ndio maana wanashauri ukitaka bia iliyoiva nenda kwenye bar ndogo zisiO na idadi kubwa ya wateja...au unywe bia IsiO nabwateja wengi kama Plisner, Guines, Bingwa, au Bavaria 8.6

usijidanganye mkuu bia bora ni bia ambayo ipo fresh kabisa, bia ikikaa muda mrefu inapoteza ladha ya asili na kuifanya isiwe kiwango.kuna tofauti kati ya wine na beer, wine ina post filtration fermentation while bia haina hiyo kitu.ukitaka kujua vizuri bia na pia kufahamu inatengenezwaje ni-pm.
 
Huu Uzi unawahusu WALEVI WENZIO nadhani.... sisi wengine hayatuhusu hayo mambo ya kharam

Wewe ni kipele tafuta wa kuku kuna, kilichokufanya ubofye herufi zote hapo ni nini kama haikuhusu!?...
 
Kiukweli beer karibu zote zinazotengenezwa na plants za dar hazikidhi viwango vinavyotakikana. Kuna kipindi nilienda songea nikanywa safari lager iliyotengenezwa na plant ya mbeya mmmh ilikuwa swadakta kabisa yaani nzito tamu kama naniiliino vile plus ile baridi ya songea duuu nilizitwanga kisawasawa!
Siku mingi najitwangia zangu bavaria "kidoti" (8.6) sema ile dark radha yake ya kahawa siikubari kiviile. Beer nyingine tamu ni singha na windhoek japo hazileweshi haraka.
 
ni kweli bia za siku hizi hazileweshi zinajaza tumbo tu nilikuwa nafikiri ni mimi mwenyewe kumbe wenzangu mmeona hilo tatizo
 
Siku hizi soko limeongezeka kwa hiyo hawaziachi mpaka zikaiva vizuri na kingine expire date yake imeshushwa pia toka miezi 6 kwa tbl hadi 4 tu huku serengeti toka mwaka hadi miezi 6...

nadhani kushushwa kwa expiring date kunatokana na demand kuongezeka, maana hazikai tena muda wote huo
 
Juzi nimekunywa castle Lager , ina muhuri unaoonyesha kuwa imetokabkiwandani siku mbili nyuma yaani 48 hours.....hapo bia haiwezi kuwa imepoa kufikia kiwango cha kunywewa.
ndio maana wanashauri ukitaka bia iliyoiva nenda kwenye bar ndogo zisiO na idadi kubwa ya wateja...au unywe bia IsiO nabwateja wengi kama Plisner, Guines, Bingwa, au Bavaria 8.6

hii ni strategic approach
 
Karibu bia zote kwa sasa zinatengenezwa kwa mahindi badala ya barley ndo maana zipo kama mimaji ni bia kama aina tatu tu zinatengenezwa kwa barley moja wapo ni castle lager. lakini vibia vingine vyote ni mahindi ukinywa ni sawa kunywa komoni ya wahehe.

asante sana
 
,luu nipo songea ngoja nitwange
Kiukweli beer karibu zote zinazotengenezwa na plants za dar hazikidhi viwango vinavyotakikana. Kuna kipindi nilienda songea nikanywa safari lager iliyotengenezwa na plant ya mbeya mmmh ilikuwa swadakta kabisa yaani nzito tamu kama naniiliino vile plus ile baridi ya songea duuu nilizitwanga kisawasawa!
Siku mingi najitwangia zangu bavaria "kidoti" (8.6) sema ile dark radha yake ya kahawa siikubari kiviile. Beer nyingine tamu ni singha na windhoek japo hazileweshi haraka.
 
Back
Top Bottom