Mnazionaje Ladha za Bia Siku Hizi?

Mnazionaje Ladha za Bia Siku Hizi?

hapa mkuu KakaKiiza na kiongozi Asprin wao wanajua zaidi ladha za hivyo vitu ulivyotaja
Mbona sinywi bia umri wangu umeishapita katika hizo makitu mimi ni mtu re brandee ze govindar kumar na whisky kwa jioni bia zenu zinapikwa leo zipo baa ya tarimo nataka ukifika nyumba unaziharisha no.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli dunia tuendayo inazidi usanii kila uchao, hili nalizungumza baada ya mimi mwenyewe kushuhudia na kufanya kaudadisi kwamba bia nyingi sasa hivi zimepoteza mvuto wake wa awali kabisa , udadisi wangu umenionesha kwamba'


  1. Nyingi ya Bia ukinywa ni kama unakunywa maji tu (ladha ya maji inatawala sana
  2. ladha ya asili huisikiii kabisa
  3. inakuchukua muda mwingi/bia nyingi sanai sana kulewa
  4. kuna kaharufu fulani kanajitokeza kwa baadhi ya bia
  5. inasemekana zinaongezewa sukari nyingi sana
  6. Inasemekana bia za sasa zinatengenezwa na mahindi badala ya shairi
  7. ...........................................ongeza


ukienda kwenye konyagi ndio kabisaaaaaa...............of course iko wazi kwamba inasemekana konyagi nyingi hutengenezwa manzese na je Bia pia????

6. Haziongezi uwezo wa kuzungumza Kiengereza!!
 
Nimei miss TUSKER ya zamani iliyokuwa inatengenezwa KENYA hadi nimebadili uamuzi wa kuendelea kunywa!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mbona sinywi bia umri wangu umeishapita katika hizo makitu mimi ni mtu re brandee ze govindar kumar na whisky kwa jioni bia zenu zinapikwa leo zipo baa ya tarimo nataka ukifika nyumba unaziharisha no.

kuna babu yangu kinywaji cha mwisho alichoomba kabla ya umautu ni ulabu
 
Nimei miss TUSKER ya zamani iliyokuwa inatengenezwa KENYA hadi nimebadili uamuzi wa kuendelea kunywa!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

nasikia tangu zirudishwe serengeti zimepoteza mvuto
 
Kiukweli beer karibu zote zinazotengenezwa na plants za dar hazikidhi viwango vinavyotakikana. Kuna kipindi nilienda songea nikanywa safari lager iliyotengenezwa na plant ya mbeya mmmh ilikuwa swadakta kabisa yaani nzito tamu kama naniiliino vile plus ile baridi ya songea duuu nilizitwanga kisawasawa!
Siku mingi najitwangia zangu bavaria "kidoti" (8.6) sema ile dark radha yake ya kahawa siikubari kiviile. Beer nyingine tamu ni singha na windhoek japo hazileweshi haraka.

Kitu Amstel na Primus. Hizi huwezi kuchoka kunywa, ladha safi, chupa kubwa kama kibuyu. Hakika zinanipa raha sana
 
Jana nimekula visichana vitatu ,toka match ya Belgium mpaka ya Brazil, na nimerudi home mzimaaa. Usemayo yana ukweli aisee.
 
Kuna mtu kasema castle lager ndio haitengenezwi na Mahindi ila ukisoma ingredients utakuta maize sijui ndio mahindi kws
 
Karibu bia zote kwa sasa zinatengenezwa kwa mahindi badala ya barley ndo maana zipo kama mimaji ni bia kama aina tatu tu zinatengenezwa kwa barley moja wapo ni castle lager. lakini vibia vingine vyote ni mahindi ukinywa ni sawa kunywa komoni ya wahehe.

What about guiness, serengeti and tusker
 
bia zinajaza sana tumbo, kila saa kubehua, bora nipige kisichana tu au siku nikizichanga napiga grants.
 
bia kwa ukanda huu wa africa mashariki ni AMSTEL BOCK, kitu toka bujumbura mbwiga wa mbwiguke alizifakamia sana kigoma , haina hang over , zinakupa appetite, zinapandisha yale mambo yetu, na ladha nzuri sana .karibuni kigoma i,m the main distributor of BRARUDI product in kigoma .
 
Back
Top Bottom