last Commando
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 233
- 304
Nyumba za zamani walijitahidi kuweka slope kwenye bati tofauti na sasa hivi slope wanailaza sana ndio maana bati linavunjwa kwasababu maji yanashindwa kufloorHutumii gharama kubwa kwenye bati zinaenda chache
Halafu hii style niya toka zaman yaan tumezaliwa tumezikuta nyumba za hivyo
na nyumba haivuji
Baadhi ya Mafundi wa sasa ni midosho tu
Hapo inabidi juu amwage zege na chini kuwe na nguzo imara au matofali alaze ni sawa na kujenga gorofaNawazaga kwanini wasiyakinge huko juu na kufuga samaki kuliko kuaacha yaingie ndani ila ni nyumba nazikubali sana ukipata mtaalamu mzuri achana na mafundi hawa wapiga ramli
Sio nzuri kabisa kipindi cha mvua ukuta wa nyumba unaozaa kutokana kutokuwepo bati la kuezekaNaipenda hii aina ya ujenzi....vipi kama kuna mafundi wazuri tatizo linaweza kuepukika? Its my dream house
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Labda upate fundi mzuri, hidden floor ni usumbufu na kero hasa kipindi cha mvua. Pia ndani huzidisha joto la nyumbaZinasaidia kupunguza gharama.
Dah nazipenda sana kwakweliSio nzuri kabisa kipindi cha mvua ukuta wa nyumba unaozaa kutokana kutokuwepo bati la kuezeka
Mtoto mdogo yule haniweziMkuu unatafuta vita, utaiweza?
Slope ya bati ipo poa sana haiwezi kuvuja ndani. Maji ya mvua yanafloor juu bila shidaNapendelea aina hii ya paa
View attachment 2805870
Labda umwage zegehivi huko juu haiwezekani kufuga sato.?
Ni nyumba za kisasa lakini bado hatuna mafundi wazuri wa kuweza kuzifanya ziendane na hali zote, zimekuwa ni nyumba nzuri sana kipindi cha kiangazi, kipindi cha mvua nyingi ni majanga matupu zinavuja mno lakini bado watu wanajenga sana nyumba kwa mtindo huo ambao sio rafiki hasa kipindi cha mvua.
Kuna mwenye nyumba hapa kila ikinyesha mvua lazima umuone fundi kapanda juu ya bati(navyotype tayari kuna fundi juu ya bati) na wapangaji wake wanalalamika sana maji kuingia ndani na kulowanisha vitu. Kila akiendelea kujenga style ni hiyo hiyo lawama nyingi akiziangushia kwa mafundi wake.
Mafundi upi ushauri wenu juu ya hili?
Upi ni mtindo mzuri wa kupaua nyumba kwa mazingira ya huku kwetu na aina ya mafundi tulionao mitaani?
View attachment 2805821
[emoji23][emoji23][emoji23]Ni uzembe wa CCM
Naomba username ya ac yao insta au linkpage yao
Ukiweza hivo. Kipindi cha masika utakuwa na kazi ya kupaka rangi mpya ukutani kila siku
Huu uzi ni kama umenilenga mimi,lakini kwa kua ulikua ujenzi wangu wa Kwanza sijilaumu nimejifunza.
Lakini Kamwe sitojenga Dream House nifanye Hidden Roof, ukweli ni heri umwage Slab huko juuu kama wewe shida ni hutaki kuona BATI.
Lakini kujenga hidden roof tusidanganyane hizi nyumba za hivi si za kuishi mwanadamu ni special kwa wanyama wafugwao.
Aseee nimefumua Gypsum zote kwasababu zimeloa zimeshuka chini, hii hasara sitoisahau ila nimekoma na sirudiiii.
Hata uje uniambie wewe ni fundi uliebobea umesomea chuo bora duniani cha ufundi, Hunishawishi kuhusu Hidden Roof nikakuelewa.
Si ndio hapo.nenda mikoa yote tanzania mahal mji umeanzia utakuta nyumba za bati kuficha ila wao walikua wanaacha nyuma inamwaga so slope inaanzia mbele. Mchezo wa mafund mmmoja kaja anasema hapa kwenye mferej wa kukusanyia maji piga tiles .utaalam wa wap huu? Solutions mwaga slope upande mmojaHutumii gharama kubwa kwenye bati zinaenda chache
Halafu hii style niya toka zaman yaan tumezaliwa tumezikuta nyumba za hivyo
na nyumba haivuji
Baadhi ya Mafundi wa sasa ni midosho tu
Duh dhana ya nyumba inakua haijapatikana.